Category Archives: Hotuba

RAIS MHE. DKT. MAGUFULI AHUTUBIA KATIKA SHEREHE ZA MIAKA 58 YA UHURU WA TANZANIA BARA PAMOJA NA MIAKA 57 YA JAMHURI ZILIZOFANYIKA KATIKA UWANJA WA CCM KIRUMBA JIJINI MWANZA

Muonekano wa Uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza  wakati wa Sherehe za Miaka 58 ya Uhuru na 57 ya Jamhuri zilizoongozwa na Rais Dkt. John Pombe Magufuli December 9, 2019

Muonekano wa Uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza  wakati wa Sherehe za Miaka 58 ya Uhuru na 57 ya Jamhuri zilizoongozwa na Rais Dkt. John Pombe Magufuli. December 9, 2019

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwasili katika Uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza  kuongoza Sherehe za Miaka 58 ya Uhuru na 57 ya Jamhuri. December 9, 2019

 

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwasili katika Uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza  kuongoza Sherehe za Miaka 58 ya Uhuru na 57 ya Jamhuri. December 9, 2019

 

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akipokea heshima baada ya kuwasili katika Uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza  kuongoza Sherehe za Miaka 58 ya Uhuru na 57 ya Jamhuri.  December 9, 2019

 

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akikagua gwaride la heshima katika Uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza  katika Sherehe za Miaka 58 ya Uhuru na 57 ya Jamhuri.  Desember 9, 2019

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akikagua gwaride la heshima katika Uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza  katika Sherehe za Miaka 58 ya Uhuru na 57 ya Jamhuri.  Desember 9, 2019

 

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe
Magufuli akikagua gwaride la heshima katika Uwanja wa CCM Kirumba
jijini Mwanza  katika Sherehe za Miaka 58 ya Uhuru na 57 ya Jamhuri
leo Jumatatu December 9, 2019

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akitembea kukakamavu kuelekea jukwaa kuu baada ya kuikagua gwaride la heshima  Uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza  katika Sherehe za Miaka 58 ya Uhuru na 57 ya Jamhuri. Desember 9,
2019

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe na
viongozi wengine pamoja na viongozi wastaafu wakifuatilia onesho la Makomandoo wa JWTZ  lililoandaliwa kunogesha Sherehe za Miaka 58 ya Uhuru na 57 ya Jamhuri uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza leo Desemba 9, 2019

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akihutubia wananchi katika sherehe za miaka 58 ya Uhuru wa Tanzania Bara pamoja na miaka 57 ya Jamhuri zilizofanyika katika uwanja wa CCM Kirumba jijjini Mwanza.

 

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akihutubia wananchi katika sherehe za miaka 58 ya Uhuru wa Tanzania Bara pamoja na miaka 57 ya Jamhuri zilizofanyika katika uwanja wa CCM Kirumba jijjini Mwanza.

Rais mstaafu wa Awamu ya Pili Mzee Ali Hassan Mwinyi akiwasalimia wananchi katika maadhimisho ya Miaka 58 ya Uhuru wa Tanzania Bara pamoja na Miaka 57 ya Jamhuri katika sherehe zilizofanyika katika uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza.

Rais mstaafu wa Awamu ya Tatu Benjamin William Mkapa akiwasalimia wananchi katika maadhimisho ya Miaka 58 ya Uhuru wa Tanzania Bara pamoja na Miaka 57 ya Jamhuri katika sherehe zilizofanyika katika uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza.

Rais wa Zanzibar Ali Mohamed Shein akiwasalimia wananchi katika maadhimisho ya Miaka 58 ya Uhuru wa Tanzania Bara pamoja na Miaka 57 ya Jamhuri katika sherehe zilizofanyika katika uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza.

Waziri Mkuu Mstaafu Fredrick Sumaye akiwasalimia wananchi katika maadhimisho ya Miaka 58 ya Uhuru wa Tanzania Bara pamoja na Miaka 57 ya Jamhuri katika sherehe zilizofanyika katika uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza.

Waziri Mkuu Mstaafu Edward Lowassa akiwasalimia wananchi katika maadhimisho ya Miaka 58 ya Uhuru wa Tanzania Bara pamoja na Miaka 57 ya Jamhuri katika sherehe zilizofanyika katika uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza.

Mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe akiwasalimia wananchi katika maadhimisho ya Miaka 58 ya Uhuru wa Tanzania Bara pamoja na Miaka 57 ya Jamhuri katika sherehe zilizofanyika katika uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza.

Mwenyekiti wa CUF Profesa Ibrahim Lipumba akiwasalimia wananchi katika maadhimisho ya Miaka 58 ya Uhuru wa Tanzania Bara pamoja na Miaka 57 ya Jamhuri katika sherehe zilizofanyika katika uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza.

 

 

Gwaride la Heshma liliondaliwa na vikosi mbalimbali vya Majeshi ya Polisi, Magereza na JWTZ yakipita mbele ya Amiri Jeshi Mkuu Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli wakati wa sherehe za miaka 58 ya Uhuru wa Tanzania Bara pamoja na miaka 57 ya Jamhuri zilizofanyika katika uwanja wa CCM Kirumba jijjini Mwanza.

Gwaride la Heshma liliondaliwa na vikosi mbalimbali vya Majeshi ya Polisi, Magereza na JWTZ yakipita mbele ya Amiri Jeshi Mkuu Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli wakati wa sherehe za miaka 58 ya Uhuru wa Tanzania Bara pamoja na miaka 57 ya Jamhuri zilizofanyika katika uwanja wa CCM Kirumba jijjini Mwanza.

 

Kikosi cha Makomando wa JWTZ wakionesha umahiri wao wa kufanya zoezi la uokozi katika mfano wa Tukio la Utekaji.

 

 

Kikosi cha Makomando wa JWTZ wakionesha umahiri wao wa kufanya zoezi la uokozi katika mfano wa Tukio la Utekaji.

 

Kikosi cha Makomando wa JWTZ wakionesha umahiri wao wa kufanya zoezi la uokozi katika mfano wa Tukio la Utekaji.

Kikosi cha Makomando wa JWTZ wakionesha umahiri wao wa kufanya zoezi la uokozi katika mfano wa Tukio la Utekaji.

Askari wa kikosi cha Zimamoto na Uokoaji cha JWTZ wakifanya onesho la namna ya kupambana na moto kwa kutumia gari lililotengenezwa na shirika la Nyumbi, Kibaha, katika kunogesha Sherehe za Miaka 58 ya
Uhuru na 57 ya Jamhuri uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza Desemba 9, 2019

Kikundi cha Sungusungu cha kutoka Kwimba mkoani Mwanza kikitumbuiza katika sherehe za miaka 58 ya Uhuru wa Tanzania Bara pamoja na miaka 57 ya Jamhuri zilizofanyika katika uwanja wa CCM Kirumba jijjini Mwanza.

 

Kikundi cha Sungusungu cha kutoka Kwimba mkoani Mwanza kikitumbuiza katika sherehe za miaka 58 ya Uhuru wa Tanzania Bara pamoja na miaka 57 ya Jamhuri zilizofanyika katika uwanja wa CCM Kirumba jijjini Mwanza.

Msanii Rajabu Abduli maarufu kama “Harmonize” akitumbuiza
katika  Sherehe za Miaka 58 ya Uhuru na 57 ya Jamhuri uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza leo Desemba 9, 2019

Naibu Waziri wa TAMISEMI Mhe. Mwita Waitara akicheza ngoma na
wacheza ngoma ya Litungu ya kabila la Wakurya waliokuwa wakitumbuiza kunogesha Sherehe za Miaka 58 ya Uhuru na 57 ya Jamhuri uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza. Desemba 9, 2019

Baadhi ya Mawaziri wakiimba na kucheza wimbo wa Harmonize wakati wa sherehe za miaka 58 ya Uhuru wa Tanzania Bara pamoja na miaka 57 ya Jamhuri zilizofanyika katika uwanja wa CCM Kirumba jijjini Mwanza.

Viongozi mbalimbali wakiwemo Mabalozi wanaowakilisha nchi zao hapa nchini wakimpungia mkono Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli wakati akiondoka katika uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza mara baada ya sherehe za Uhuru. 

RAIS DKT MAGUFULI AZINDUA MSIKITI WA ISTIQAAMA BOMANI MJINI SUMBAWANGA, AHUTUBIA MKUTANO WA HADHARA UWANJA WA NELSON MANDELA

 

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiwapungia mkono wananchi wa Sumbawanga mara baada ya kuwasili katika Uwanja wa mpira wa Nelson Mandela kwa ajili ya kuwahutubia.

 

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiwapungia mkono wananchi wa Sumbawanga mara baada ya kuwasili katika Uwanja wa mpira wa Nelson Mandela kwa ajili ya kuwahutubia.

 

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na mamia wa wananchi wa Sumbawanga katika mkutano wa hadhara uliofanyika katika uwanja wa mpira wa Nelson Mandela mkoani Rukwa

 

 

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na mamia wa wananchi wa Sumbawanga katika mkutano wa hadhara uliofanyika katika uwanja wa mpira wa Nelson Mandela mkoani Rukwa

 

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na mamia wa wananchi wa Sumbawanga katika mkutano wa hadhara uliofanyika katika uwanja wa mpira wa Nelson Mandela mkoani Rukwa

 

Sehemu ya Wananchi wa Sumbawanga waliohudhuria mkutano wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli uliofanyika katika uwanja wa mpira wa Nelson Mandela mkoani Rukwa

 

Sehemu ya Wananchi wa Sumbawanga waliohudhuria mkutano wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli uliofanyika katika uwanja wa mpira wa Nelson Mandela mkoani Rukwa

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiwapungia mkono wananchi wa Sumbawanga mara baada ya kuwahutubia katika uwanja wa mpira wa Nelson Mandela mkoani Rukwa. 

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiwa na Mkewe Mama Janeth Magufuli wanne kutoka kulia walioshika utepe, Waziri wa Maji Profesa Makame Mbarawa, Waakilishi wa Umoj wa Ulaya nchini (EU) Waakilishi wa Serikali ya Ujerumani kupitia Benki ya Maendeleo ya Ujerumani (KFW) akifungua mradi wa uboreshaji wa huduma ya Maji safi na usafi wa Mazingira mjini Sumbawanga mkoani Rukwa.

Sehemu ya Miundombinu ya uboreshaji wa huduma ya Maji safi na usafi wa Mazingira mjini Sumbawanga mkoani Rukwa ambayo imezinduliwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli leo mjini Sumbawanga.

 

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiangalia picha ya kuchorwa yenye taaswira yake wakati akiondoka katika uwanja wa Nelson Mandela mara baada ya kuwahutubia wananchi. 

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dit. John Pombe Magufuli
akivua viatu kabla ya kuingia na hatimaye kuufungua msikiti wa
Istiqaama Bomani  wa Mjini Sumbawanga.  Oktoba 7, 2019

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dit. John Pombe Magufuli
akipata maelezo toka kwa Shehe Mkuu wa Mkoa wa Rukwa  Shehe Rashidi Akilimali kabla ya kuufungua msikiti wa  Istiqaama Bomani  wa Mjini Sumbawanga. Oktoba 7, 2019

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli
akiwa na  Shehe Mkuu wa Mkoa wa Rukwa  Shehe Rashidi Akilimali na
viongozi wengine akikata utepe kuufungua rasmi msikiti wa Istiqaama
Bomani  wa Mjini Sumbawanga. Oktoba 7, 2019

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli
akiwa na  Shehe Mkuu wa Mkoa wa Rukwa  Shehe Rashidi Akilimali na
viongozi wengine wakiitikia dua inayoongozwa na msaidizi wa Rais Alhaj Ali Masella baada ya kuufungua rasmi msikiti wa Istiqaama Bomani  wa Mjini Sumbawanga.  Oktoba 7, 2019

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli
akimkabidhi mchango wa shillingi milioni tano kwa asili ya kukamilishia vifaa vya  kuswalia kama vile mazulia  Shehe Mkuu wa Mkoa wa Rukwa  Shehe Rashidi Akilimali akishuhuduiwa na  viongozi wengine baada ya kuufungua rasmi msikiti wa Istiqaama Bomani  wa Mjini Sumbawanga.  Oktoba 7, 2019