Daily Archives: October 24, 2014

PRESIDENT JAKAYA MRISHOKIKWETE RECEIVES A ROUSING WELCOME IN BEIJING ON OCTOBER 24,2014

1

President Dr.Jakaya Mrisho Kikwete introduces former OAU/AU Secretary General Salim Ahmed Salim to China’s President Xi Jinping during the formal reception held at the Great Hall of the People in Beijing this evening.Left is the Minister for Foreign Affairs Bernard Membe and second left is CCM Secretary General Abdulrahman Kinana.

2

President Dr. Jakaya Mrisho Kikwete and his host Chinese President Xi Jinping inspects a guard of honor mounted China’s People Defense force in Beijing this evening during a formal reception at the Great Hall of the people. President Kikwete is on State Visit to China at the invitation of President Xi Jinping.

3

 

4 

President Dr.Jakaya Mrisho Kikwete and his host President Xi Jinping waves to the cheering crowd during a formal reception for the President and his delegation held at the Great Hall of the People in Beijing at the climax of his State visit this evening.

President Kikwete meets China’s prime Minister Li Keqiang in Beijing

weee

President Dr.Jakaya Mrisho Kikwete meet and hold talks with Prime minister of the Peoples’ Republic of China Rt.Honorable Li Keqiang at the Great Hall of the people in Beijing this morning when the president paid a courtesy call on him.President Kikwete is on a State Visit in China at the invitation of China’s President Xi Jinping October 24, 2014

 

 

 CHINA YAMWAGA NEEMA KUBWA KWA TANZANIA

Jamhuri ya Watu wa China leo, Ijumaa, Oktoba 24, 2014, imetangaza neema kubwa kwa Tanzania, ikiwa ni pamoja na kutoa dola za Marekani milioni 85 kwa ajili ya shughuli za maendeleo na kuisaidia Tanzania kufanya mageuzi ya viwanda.

Neema hiyo ya China kwa Tanzania imetangazwa na Rais Xi Jinping wa nchi hiyo katika mazungumzo rasmi ya Kiserikali kati yake na ujumbe wa Tanzania ukiongozwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete, ambaye yuko katika ziara rasmi ya siku sita katika China.

Mazungumzo hayo kwenye Jumba la The Great Hall of the People yamefanyika baada ya Rais Kikwete kukaribishwa rasmi katika Jamhuri ya Watu wa China kwa kupokelewa na Rais Xi Jinping katika eneo la East Plaza ya Jumba hilo.

Katika mapokezi hayo ya kuvutia na kusisimua, Rais Kikwete amepigiwa mizinga 21 na kukagua gwaride la ukakamavu la Jeshi la Ukombozi la Wananchi wa China la People’s Liberation Army.

Katika mazungumzo hayo, Rais Xi Jinping alitangaza kuwa China itaipatia Tanzania kiasi cha dola milioni 85 ikiwa ni mchanganyiko wa msaada na mkopo usiokuwa na riba, fedha ambazo Tanzania itaamua yenyewe jinsi gani ya kuzitumia.

“Katika kuunga mkono jitihada za Serikali ya Tanzania kuboresha maisha ya wananchi wake, napenda kutangaza kuwa Jamhuri ya Watu wa China itatoa kiasi cha RMB milioni 200 ikiwa ni msaada na RMB 200 milioni nyingine zikiwa ni mkopo usiokuwa na riba kwa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na kiasi cha RMB 100 milioni za msaada kwa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar ambazo zitatumika kwa kadri Serikali hizo mbili zitakavyoamua,” amesema Rais Jinping.

Rais huyo wa China pia ametangaza kuwa nchi hiyo itaisaidia Tanzania katika uendelezaji wa maeneo ya uwekezaji ya EPZ, uendelezaji wa miundombinu, itaharakisha ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo na itaingia katika shughuli za kutafuta gesi na mafuta katika ukanda wa Bahari ya Hindi katika eneo la Tanzania.

Rais Jinping pia ametangaza kuwa Serikali ya China imefanya uamuzi wa kuikarabati Reli ya Uhuru ya TAZARA inayounganisha Tanzania na Zambia na yenye urefu wa kilomita 1,860 na kusaidia uendeshaji wa reli hiyo. “Ili kutekeleza uamuzi huu kwa haraka, napendekeza kuundwa kwa kamati ya pamoja ya wataalam kuandaa ramani ya namna ya kuitoa reli hiyo katika matatizo yake ya sasa.”

TAZARA ndiyo reli ya kwanza duniani kujengwa na Jamhuri ya Watu wa China ambao utaalamu wake sasa unasakwa na nchi nyingine nyingi duniani.

Rais Jinping pia ametangaza kuwa Serikali yake itatoa nafasi 100 za masomo ya elimu ya juu kwa wanafunzi kutoka Tanzania katika miaka mitano ijayo, itaongeza idadi ya madaktari ambao China inapeleka Tanzania, itahimiza makampuni zaidi ya China kuwekeza katika Uchumi wa Tanzania na kuzishawishi taasisi za kifedha za China kuanzisha shughuli zake katika Tanzania.

Kiongozi huyo wa China pia ametangaza kuwa nchi yake itajenga chuo kikubwa cha mafunzo ya ufundi katika Tanzania na itaendelea kushirikiana na Tanzania katika eneo la uimarishaji wa ulinzi na usalama.

 Rais Jinping amesema kuwa urafiki na uhusiano kati ya China na Tanzania ni mfano unaong’ara wa uhusiano mzuri na mwema duniani na kuwa China iko tayari kutoa uzoefu wake wa maendeleo kwa Tanzania bila wasiwasi wowote.

Rais Kikwete amemshukuru sana Rais Jinping na Jamhuri ya Watu wa China kwa misaada yake ambayo baadhi yake haikutarajiwa

Imetolewa na;

Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais,

Ikulu – Dar es Salaam.

24 Oktoba, 2014.

 

 

 

PRESIDENT KIKWETE AWARDED HONORARY PROFESSORSHIP BY CHINA AGRICULTURAL UNIVERSITY, OCTOBER 23 2014

unnamed-1

 

unnamed-3

 

President Dr. Jakaya Mrisho Kikwete being awarded Honorary Professorship at the China Agricultural University in Beijing this evening. On the left is Chair of the University Council Jiang Peimin and on the right is the University’s President Professor KE Bingsheng.

unnamed-2

President Dr.Jakaya Mrisho Kikwete delivers his speech shortly after he was awarded Honorary Professorship at the China Agricultural University in Beijing this evening. President Kikwete is in China for a working visit at the invitation of the China President Xi Jinping

unnamed

President Dr.Jakaya Mrisho Kikwete tour the greenhouse shortly after he arrived at China Agricultural University this afternoon. President Kikwete later addressed the University students and lecturers on the agricultural development in Tanzania before being conferred Honorary Professorship.

 

 

PRESIDENT KIKWETE OPENS TANZANIA-CHINA BUSINESS FORUM IN BEIJING OCTOBER 23, 2014

unnamed-4

President Dr.Jakaya Mrisho Kikwete pose for a group photograph with Tanzania and Chinese delegates who attended the Tanzania and China Business and Investment Forum that was held at Diaoyutai State Guest House in Beijing, October 23, 2014 President Kikwete who officiated at the opening of the forum, is in working visit in China at the invitation of the Chinese President Xi Jinping.

NHC SIGN MULTI MILLION COOPERATION AGREEMENT WITH CHINESE FIRMS

unnamed-1

 

unnamed

The National Housing Corporation(NHC) Director General Nehemiah Mchechu and a representative of China Poly Technologies Inc. Sign a Memorandum of Understanding for investment of USD 200 Million to Valhalla Project located at Masaki in Dar es Salaam. The Signing ceremony took place during the 3rd Tanzanian-China Business Forum held in Beijing this morning in the presence of President Dr. Jakaya Mrisho Kikwete(not in the picture). During the same occasion the NHC signed two other MoUs with China Railway Jianchang Engineering(CRJE) to jointly develop Salama Creek Satelite city. Located at Uvumba Temeke Dar es Salaam at a cost of USD I billion and a Financial Square located in Upanga Kinondoni Dar es Salaam at a cost of USD 500 million. Witnessing the signing ceremony is the Dar es Salaam Regional Commissioner Said Meck Sadik