Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akitoa hotuba yake ya ufunguzi wa Kongamano la Maadhimisho ya miaka 10 ya Tume ya ututmishi wa Umma lililofanyika katika ukumbi wa mikutano wa kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es Salaam Oktoba 30,201
Washiriki wa Kongamano la Maadhimiso ya miaka 10 ya tume ya Utumishi wa Umma lililofanyika jijini Dar es Salaam Oktoba 30,2014 wakifuatilia kwa kina Hotuba ya ufunguzi ya kongamano hilo ya Mhe. Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akitoa hotuba yake ya ufunguzi wa Kongamano la Maadhimisho ya miaka 10 ya Tume ya ututmishi wa Umma lililofanyika katika ukumbi wa mikutano wa kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es Salaam Oktoba 30,201
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiwa katika picha ya pamoja na washiriki wa Kongamano la Maadhimiso ya miaka 10 ya tume ya Umma lililofanyika jijini Dar es Salaam Oktoba 30, 2014
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiwa katika picha ya pamoja na katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue (wa tatu kushoto) pamoja na makatibu wakuu Kiongozi wastaafu Matern Lumbanga(kulia) na Philemon Luhanjo
VIONGOZI WA MSONDO WAMTEMBELEA RAIS KIKWETE IKULU OKTOBA 30, 2014
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na viongozi wa Bendi ya Msondo ngoma Ikulu jijini Dar es Salaam Oktoba 30, 2014 .Viongozi hao walimtembelea Rais Kikwete Ikulu na kufanya naye mazungumzo
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete katika picha ya pamoja na viongozi wa Bendi ya Msondo ngoma Ikulu jijini Dar es Salaam Oktoba 30, 2014.Viongozi hao walimtembelea Rais Kikwete Ikulu na kufanya naye mazungumzo