Daily Archives: December 21, 2014

AMIRI JESHI MKUU RAIS DKT.JAKAYA MRISHO KIKWETE ATUNUKU KAMISHENI KWA MAAFISA WAPYA WA JESHI WANANCHI (JWTZ) MONDULI DESEMBA 20, 2014

4

 

5

Amiri Jeshi Mkuu Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiingia katika viwanja vya chuo cha jeshi Monduli (Tanzania Military Academy) 

unnamed (34)

 

Amiri Jeshi Mkuu Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akitunuku Kamisheni maafisa wa jeshi la Ulinzi la wananchi (JWTZ) katika chuo cha Jeshi  Monduli Mkoani Arusha Desemba 20, 2014.Jumla ya maafisa 171 walitunukiwa kamisheni wakati wa hafla hiyo.

1sdd

 

2

Amiri Jeshi Mkuu Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akimpa zawadi na kumpongeza Luteni Usu Edwin Engelbert Kessy wakati wa hafla ya kutunuku kamisheni maafisa wa jeshi baada kuibuka mwanafunzi bora wakati wa mafunzo ya maafisa wa jeshi yaliyofanyika katika chuo cha jeshi Monduli mjini Arusha Desemba 20, 2014

15

 

16

Wahitimu wakila kiapo mbele ya Amiri Jeshi Mkuu Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete 

9

 

10

 

Amiri Jeshi Mkuu Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akikagua gwaride la heshima

12

 

13

 

14

 

11

 

Gwaride la heshima likipita mbele ya   Amiri Jeshi Mkuu Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete

 

unnamed (23)

Amiri Jeshi Mkuu Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete katika picha ya pamoja na viongozi mbalimbali na wahitimu baada ya kutunuku kamisheni  jumla ya maafisa 171 wa mafunzo ya maafisa wa jeshi yaliyofanyika katika chuo cha jeshi Monduli mjini Arusha Desemba 20, 2014