Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akihutubia wakati wa ibada ya kumsimika askofu Mpya wa Jimbo Katoliki Shinyanga Mhashamu Liberatus Sangu ibada ya kumweka wakfu ilifanyika katika kanisa kuu la Parokia ya Mama mwenye Huruma, Ngokolo Shinyanga Mjini April 12, 2015
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akimpongeza askofu Mpya wa Jimbo Katoliki Shinyanga Mhashamu Liberatus Sangu wakati wa ibada ya kumweka wakfu iliyofanyika katika kanisa kuu la Parokia ya Mama mwenye Huruma, Ngokolo Shinyanga Mjini April 12, 2015
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na Kadinali Pengo wakati wa ibada ya kuwekwa wakfu askofu Mpya wa Jimbo Katoliki Shinyanga Mhashamu Liberatus Sangu ibada iliyofanyika katika kanisa kuu la Parokia ya Mama mwenye Huruma, Ngokolo Shinyanga Mjini April 12, 2015
Askofu Mpya wa Jimbo Katoliki Shinyanga Mhashamu Liberatus Sangu akiendesha ibada ya misa baada ya kumweka wakfu katika kanisa kuu la Parokia ya Mama mwenye Huruma, Ngokolo Shinyanga Mjini April 12, 2015