Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akilakiwa na baadhi ya watoto wenye albinism mara baada ya kuwasili katika uwanja wa michezo wa Sheikh amri Abeid mjini Arusha Juni 13, 2015 ambapo aliongoza maadhimisho ya siku ya watu wenye Albino Duniani.
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiwasalimia watoto wenye albino kwa kuwabusu kisha kupiga picha ya pamoja na mama Salma Kikwete katika uwanja wa michezo wa Sheikh amri Abeid mjini Arusha Juni 13, 2015 ambapo aliongoza maadhimisho ya siku ya watu wenye Albino Duniani.
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiteta jambo na mtu mwenye ulemavu wa albino ambaye jina lake halikupatikana katika uwanja wa michezo wa Sheikh amri Abeid mjini Arusha Juni 13, 2015 ambapo aliongoza maadhimisho ya siku ya watu wenye Albino Duniani.kulia ni Mwenyekiti wa Chama Cha Albino Tanzania Bwana Ernest Kimaya
Dkt. Possy akikabidhi lisala ya watu wenye albino baada ya kusomwa kwa mgeni rasmi Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete katika uwanja wa michezo wa Sheikh amri Abeid mjini Arusha Juni 13, 2015 ambapo aliongoza maadhimisho ya siku ya watu wenye Albino Duniani.
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akitoa hotuba yake katika uwanja wa michezo wa Sheikh Amri Abeid mjini Arusha wakati wa maadhimisho ya siku ya watu wenye albino Duniani Juni 13, 2015
Wananchi wakisikiliza hotuba ya Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete aliyoitoa katika uwanja wa michezo wa Sheikh Amri Abeid mjini Arusha wakati wa maadhimisho ya siku ya watu wenye albino Duniani Juni 13, 2015