Daily Archives: July 10, 2015

RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA DKT. JAKAYA MRISHO KIKWETE ALIPOHUTUBIA KWA KULIVUNJA BUNGE LA KUMI LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, UKUMBI WA BUNGE, DODOMA TAREHE 9 JULAI, 2015

b1

 Jaji Mkuu wa Tanzania Mhe. Mohamed Chande Othman na ujumbe wake pamoja na maafisa wa bunge wakiingia Bungeni tayari kwa hotuba ya mwisho ya Rais Jakaya Mrisho Kikwete mjini Dodoma Alhamisi Julai 9, 2015 

b2

 Marais wastaafu Alhaji Ali Hassan Mwinyi na Mzee Benjamin William Mkapa na Mawaziri wakuu wastaafu Dkt Salim Ahmed Salim, Jaji Joseph Sinde Warioba, Mhe. Frederick Sumaye na wakuu wa vyombo vya ulinzi na usalama na maafisa waandamizi jeshini na serikalini wakiwa wamesimama wakati viongozi wakiingia bungeni 

b3

 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt Ali Mohamed Shein akiingia bungeni  

b4

 Makamu wa Rais Dkt Mohamed Ghalib Bilali akiingia katika ukumbi wa Bunge 

b5

 Spika Anne Makinda akimuongoza Rais Kikwete kuingia bungeni 

b6

 Rais Kikwete akiingia bungeni huku akishangiliwa na wabunge 

b8

 Rais Kikwete akiingia bungeni  

b9

 Rais Kikwete na Spika Makinda wakielekea kuchukua nafasi zao   

b10

 Sehemu ya ukumbi wa bunge wakati Rais Kikwete akiingia 

b11

 Waheshimiwa wabunge

b12

 Sehemu ya maafisa waandamizi wa bunge  

b13

 Rais Kikwete akianza kuhutubia wabunge

b14

 Sehemu ya maafisa waandamizi wa bunge 

b15

 Rais Kikwete akihutubia 

b16

 Rais Kikwete akiendelea na hotuba yake 

b17

 

b18

 Waheshimiwa wabunge wakiwa wametulia kumsikiliza Rais Kikwete 

b19

 Sehemu ya wageni mashuhuri wakifuatilia hotuba 

b20

 Sehemu ya wabunge 

b21

 Wake wa viongozi, watoto wa Rais Kikwete na maafisa mbalimbali  

b22

 Sehemu ya Mabalozi 

b23

 Wabunge wakifuatilia hotuba  

b24

 Wabunge wakifuatilia hotuba  

b25

 Wabunge wakifuatilia hotuba 

b26

 Wabunge wakifuatilia hotuba 

b27

 Wabunge wakifuatilia hotuba  

b28

 Wabunge wakifuatilia hotuba 

b29

 Wabunge wakifuatilia hotuba 

b30

 Wapiga picha wakirekodi hotuba ya Rais Kikwete  

b31

 Jaji Mkuu na ujumbe wake 

b33Rais Kikwete akiendelea kuhutubia wabunge 

b32

Rais Kikwete akiendelea kuhutubia wabunge   

b35

wabunge 

b38

 Sehemu ya maafisa waandamizi wa vikosi vya ulinzi na usalama na wageni waalikwa 

b40

 Rais wa Zanzibar Dkt. Shein, Makamu wa Rais Dkt Bilali, Naibu Spika Mhe Ndugai na Mwenyekiti wa Bunge Mhe Mussa Hassan Zungu wakifuatilia hotuba  

 b64

 Picha ya pamoja na marais wastaafu na viongozi wa juu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania 

 b61

  Rais Kikwete akiongea na Marais Wastaafu Alhaj Ali Hassan Mwinyi na Mhe Mkapa 

b60

 Picha ya pamoja 

b59

 Rais Kikwete akipongezwa na Rais Mstaafu Alhaj Ali Hassan Mwinyi  

b57

 Rais Kikwete akisindikizwa kutoka nje baada ya kuhutubia

b56

 Jaji Mkuu akitoka bungeni  

b55

 Rais wa Zanzibar akitoka bungeni  

b53

 

b52

 

b50

 Rais Kikwete akiendelea kuhutubia wabunge  

b44

 Mmoja wa wabunge Mhe. Riziki Saidi Ruliga, akifuatilia hotuba kwa makini 

b42

 

b41Rais Kikwete akiendelea kuhutubia wabunge  

b62