Daily Archives: August 9, 2015

RAIS DKT. JAKAYA MRISHO KIKWETE AZINDUA KIVUKO CHA MV. MAFANIKIO MTWARA, AZINDUA WA UJENZI WA NYUMBA ZA NHC ENEO LA SHANGANI MJINI MTWARA NA TAWI LA BENKI KUU MTWARA AGOSTI 9, 2015

D92A3345 Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akibonyeza kitufe kuzindua rasmi kivuko cha MV.Mafanikio huko eneo la Msangamkuu mjini Mtwara 

D92A3357Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete pamoja na Waziri wa Ujenzi Dkt.John Pombe Magufuli na viongozi waandamizi serikalini wakikata utepe kuzindua rasmi kivuko MV Mafanikio huko Msangamkuu Mkoani Mtwara Agosti 9,2015

 

D92A3014Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na kamati ya ulinzi na usalama mara baada ya kuwasili Mkoani Mtwara leo

D92A3468

 

D92A3558

 

D92A3554Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete aikiwa ndani ya kivuko cha MV.Mafanikio mara baada ya kukifungua kivuko hicho ambacho kinafanya safari zake kati ya Mtwara Mjini hadi Msangamkuu Agosti 9,2015

D92A3582Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete pamoja na ujumbe wake akishuka  ndani ya kivuko cha MV.Mafanikio mara baada ya kuwasili eneo la Msangamkuu Agosti 9,2015 kwa ajili ya kuhutubia wananchi ya wa kata ya Msangamkuu Mtwara

1Mkurugenzi Mkuu wa shirika la Nyumba la Taifa NHC Nehemia Mchechu akimweleza jambo Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete wakati wa sherehe za uzinduzi wa ujenzi wa nyumba za NHC eneo la shangani Mjini Mtwara leo jioni  

2Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete, Waziri wa TAMISEMI Hawa Ghasia aliyemwakilisha Waziri wa Ardhi, Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa Bwana Nehemia Mchechu Wakifunua kitambaa katika jiwe la msingi kuzindua rasmi mradi wa ujenzi wa nyumba za NHC eneo la Shangani Mtwara.Wapili kushoto ni mke wa Rais Mama Salma Kikwete na wanne kushoto ni Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Bibi Halima Dendego.

unnamedRais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akikata utepe kuzindua rasmi tawi la Benki Kuu mjini Mtwara  Kushoto ni Gavana wa Benki Kuu Dkt.Benno Ndulu na kulia ni Naibu Waziri wa Fedha Bwana Mwigulu Nchemba

 

 

RAIS KIKWETE AZINDUA UJENZI WA MRADI WA MAJI LINDI, AWAZAWADIA WASHINDI NANENANE AGOSTI 8,2015

1 Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete pamoja na mwakilishi wa shirika la misaada la Ujerumani KFW Bi.Katrin Brandes na mkuu wa mkoa wa Lindi Bibi Mwantum Mahiza wakifunua kitambaa kuzindua ujenzi wa mradi wa maji wa mji wa Lindi eneo la Ng’apa mjini Lindi Agosti 8,2015

2 Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na baadhi ya wananchi waliojitokeza katika maadhimisho ya sikukuu ya wakulima nanenane yaliyofanyika kitaifa katika viwanja vya Ngongo mjini Lindi leo.Rais Kikwete alitumia fursa hiyo kuagana na wananchi wa mkoa wa Lindi Agosti 8,2015

3 Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akimkabidhi Mkuu wa Jeshi la Kujenga Taifa Meja  Jenerali  Raphael Muhuga kombe la ushindi baada ya taasisi anayoiongoza kuibuka mshindi wa taasisi iliyofanya vyema kuliko zote(Overall Best Exhibitor) wakati maonyesho ya sikukuu ya wakulima nanenane yaliyofanyika kitaifa katika viwanja vya Ngongo mjini lindi Agosti 8,2015 5Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akikata utepe kuzindua rasmi Benki ya Maendeleo ya kilimo huko eneo la Ngongo yalikofanyika maadhimisho ya sikukuu ya wakulima kitaifa Nanenane Agosti 8,2015

1 Mtaalamu wa Kilimo Dkt.Kissa Kajigili akimpa maelezo ya kilimo bora cha mpunga kwa njia ya umwagiliaji wa kisasa Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete wakati Rais alipotembelea maonesho ya nane nane yaliyofanyika kitaifa katika viwanja vya Ngongo mkoani Lindi.

2 Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiangalia muhogo uliolimwa kwa kuzingatia kanuni bora za kilimo wakati wa maonesho ya kilimo yaliyofanyika katika viwanja vya Ngongo mjini Lindi wakati wa maadhimisho ya sikukuu ya wakulima yaliyofanyika kitaifa mkoani humo.  3Mjasiriamali Bi.Ashura Omary Mswazi akimuonesha Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete na mkewe mama Salma Kikwete mafuta ya alizeti aliyokamua kwa mashine bora na kuyauza kupitia kampuni yake ya Kwadelo Investment wakati Rais alipotembea na kukagua baadhi ya mabanda ya maonesho katika viwanja vya Ngongo Mjini Lindi wakati wa sikukuu ya wakulima nanenane

unnamedRais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiangalia moja ya matrekta katika viwanja vya maonesho Ngongo Mkoani Lindi wakati wa maadhimisho ya sherehe za wakulima Nanenane.