Daily Archives: September 7, 2015

RAIS JAKAYA MRISHO KIKWETE AMBAYE PIA NI MWENYEKITI WA CCM TAIFA AKIWA KATIKA ZIARA YA SHUGHULI NYINGI MJINI MOROGORO MWISHOMI MWA WIKI

Mama Salma Kikwete akijiunga na viongozi wa CCM mkoa wa Morogoro kumlaki Mwenyekiti wa CCM Taifa Rais Jakaya Mrisho Kikwete katika Uwanja wa Jamhuri Mjini Morogoro Jumapili kwa mkutano wa kampeni wa mgombea Urais kwa tiketi ya chama hicho tawala Mwenyekiti wa CCM Taifa Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwasili katika Uwanja wa Jamhuri Mjini Morogoro Jumapili kwa mkutano wa kampeni wa mgombea Urais kwa tiketi ya chama hicho tawala Mwenyekiti wa CCM Taifa Rais Jakaya Mrisho Kikwete akilakiwa katika Uwanja wa Jamhuri Mjini Morogoro Jumapili kwa mkutano wa kampeni wa mgombea Urais kwa tiketi ya chama hicho tawala

 Sehemu ya  wananchi  katika Uwanja wa Jamhuri Mjini Morogoro Jumapili waliohuduria  mkutano wa kampeni wa mgombea Urais kwa tiketi ya chama hicho tawala

 Sehemu ya gharika la wananchi  katika Uwanja wa Jamhuri Mjini Morogoro Jumapili kwa mkutano wa kampeni wa mgombea Urais kwa tiketi ya chama hicho tawala

 Sehemu ya gharika la wananchi  katika Uwanja wa Jamhuri Mjini Morogoro Jumapili kwa mkutano wa kampeni wa mgombea Urais kwa tiketi ya chama hicho tawala

 Sehemu ya gharika la wananchi likimpokea mgombea wa Urais kwa Tiketi ya CCM Dkt. John Pombe Magufuli  katika Uwanja wa Jamhuri Mjini Morogoro Jumapili kwa mkutano wa kampeni

Rais Kikwete akimnadi mgombea wa Urais kwa Tiketi ya CCM Dkt. John Pombe Magufuli  katika Uwanja wa Jamhuri Mjini Morogoro Jumapili Rais Kikwete na mgombea wa Urais kwa Tiketi ya CCM Dkt. John Pombe Magufuli  wakiwa katika Uwanja wa Jamhuri Mjini Morogoro Jumapili

 Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi CCM Dkt. Jakaya Kikwete na Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli wakiwapungia mikono wananchi huku wakiwa wameshika kofia zao. 

 Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akisistiza jambo katika mkutano huo.

 
Mwenyekiti wa chama cha Mapinduzi (CCM),Dkt Jakaya Kikwete akisalimiana na Kada maarufu wa CCM,Mzee Yusuph Makamba jioni ya leo kwenye mkutano wa hadhara wa kampeni uliofanyika viwanja vya Jamuuhuri mkoani Morogoro,pichani kati ni mgombea Urais wa CCM Dkt Magufuli akishuhuhudia tukio hilo.

Rais Kikwete na mgombea wa Urais kwa Tiketi ya CCM Dkt. John Pombe Magufuli  katika Uwanja wa Jamhuri Mjini Morogoro Jumapili wakati wa  mkutano wa kampeni wa mgombea huyo wa urais kwa tiketi ya chama hicho tawala

 
Rais Kikwete akiongea na gharika ya wananchi wakati akimnadi mgombea wa Urais kwa Tiketi ya CCM Dkt. John Pombe Magufuli  katika Uwanja wa Jamhuri Mjini Morogoro Jumapili wakati wa  mkutano wa kampeni wa mgombea huyo wa urais kwa tiketi ya chama hicho tawala
 Rais Kikwete akimnadi  mgombea  Urais kwa Tiketi ya CCM Dkt. John Pombe Magufuli  katika Uwanja wa Jamhuri Mjini Morogoro Jumapili wakati wa  mkutano wa kampeni wa mgombea huyo wa urais kwa tiketi ya chama hicho tawala
 
Rais Kikwete akimnadi  mgombea  Urais kwa Tiketi ya CCM Dkt. John Pombe Magufuli  katika Uwanja wa Jamhuri Mjini Morogoro Jumapili wakati wa  mkutano wa kampeni wa mgombea huyo wa urais kwa tiketi ya chama hicho tawala
 
Rais Kikwete akimnadi  mgombea  Urais kwa Tiketi ya CCM Dkt. John Pombe Magufuli  katika Uwanja wa Jamhuri Mjini Morogoro Jumapili wakati wa  mkutano wa kampeni wa mgombea huyo wa urais kwa tiketi ya chama hicho tawala
 
Ni shangwe tupu wakati mgombea  Urais kwa Tiketi ya CCM Dkt. John Pombe Magufuli  akiongea gharika ya wananchi katika Uwanja wa Jamhuri Mjini Morogoro Jumapili wakati wa  mkutano wa kampeni wa mgombea huyo wa urais kwa tiketi ya chama hicho tawala