Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akiwasili katika uwanja wa michezo wa Jamhuri mjini Dodoma na kuvikwa skafu tayari kuongoza maadhimisho ya Kilele cha mbio za Mwenge wa Uhuru mwaka 2015 na kumbukumbu ya miaka 16 ya kifo cha Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere.Kauli mbiu ya mwaka huu ni “ Tumia haki yako ya kidemokrasia kupiga kura katika uchaguzi Mkuu wa mwaka 2015.
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akipokelewa na mkuu wa mkoa wa Dodoma mara baada ya kuwasili katika uwanja wa michezo wa Jamhuri mjini Dodoma kuongoza maadhimisho ya mbio za mwenge wa Uhuru.
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiwa katika jukwaa malum akipigiwa wimbo wa taifa mara baada ya kuwasili katika uwanja wa michezo wa Jamhuri mjini Dodoma kuongoza maadhimisho yam bio za mwenge.
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akipokelewa na mkuu wa mkoa wa Dodoma mara baada ya kuwasili katika uwanja wa michezo wa Jamhuri mjini Dodoma kuongoza maadhimisho ya mbio za mwenge wa Uhuru.
Kiongozi wa Mbio za Mwenge kitaifa Ndugu Juma Khatib Chum akimkabidhi Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete mwenge wa uhuru wakati wa sherehe za kilele cha Mbio za Mwenge zilizofanyika katika Uwanja wa Michezi wa Jamhuri mjini Dodoma Oktoba 14, 2015
Wakimbiza Mwenge wa Uhuru kitaifa wakikabiwa vyeti na Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete wakati wa kilele cha mbio za mwenge wa uhuru zilizofanyika katika Uwanja wa Michezi wa Jamhuri mjini Dodoma Oktoba 14, 2015