Daily Archives: October 16, 2015

RAIS JAKAYA MRISHO KIKWETE AFUNGUA MAJENGO YA TAASISI ZA FEDHA DODOMA OKTOBA 15, 2015

1

 

Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania Profesa Benno Ndulu akimkabidhi Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete albam ya picha mbalimbali za Rais zinazohusiana na shughuli za Benki kuu wakati hafla ya uzinduzi wa Jengo la Tawi la Benki kuu mjini Dodoma leo.Kulia ni Waziri wa Fedha Saada Mkuya.

2

Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete,Waziri wa Fedha Bibi Saada Mkuya na Gavana wa Benki Kuu Professa Benno Ndulu wakiwa katika picha ya pamoja na maofisa waandamizi wa benki kuu pamoja na wafanyakazi wa Benki kuu Tawi jipya la Dodoma muda mfupi baada ya hafla wa uzinduzi wa tawi hilo. 

13

Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akisaini kitabu cha wageni mashuhuri wakati wa hafla ya ufunguzi wa jengo la Tawi jipya la Benki Kuu mjini Dodoma leo huku Waziri wa Fedha Bibi Saada Mkuya na Gavana wa Benki Kuu Profesa Benno Ndulu wakishuhudia.

12

 

11 Baadhi ya Watumishi kutoka Benki Kuu,Hazina na Ofisi ya Mdhibiti na mkaguzi Mkuu wa Hesabu za serikali wakisikiliza hotuba ya Rais Kikwete muda mfupi baada ya kufungua majengo matatu ya taasisi hizo mjini Dodoma

10

Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akisaini kitabu cha wageni mashuhuri wakati wa hafla ya ufunguzi wa jengo la Tawi jipya la Benki Kuu mjini Dodoma leo huku Waziri wa Fedha Bibi Saada Mkuya na Gavana wa Benki Kuu Profesa Benno Ndulu wakishuhudia.

9

 

8

Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete, Waziri wa Fedha Bibi Saada Mkuya(Wanne kushoto),Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Professa Mussa Assad(wapili kushoto), Katibu Mkuu Hazina Dkt.Servacius Likwelile(kulia) na Mkuu wa Mkoa wa Dodoma wakiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya wafanyakazi wa ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali iliyofunguliwa rasmi mjini Dodoma 

7

Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Professa Musa Assad akimkabidhi Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete kitabu kinachohusu kanuni na utendaji wa kazi za ofisi yake wakati wa uzinduzi wa jengo la ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali uliofanyika mjini Dodoma 6 

Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete,Waziri wa Fedha bibi Saada Mkuya, Mdhibiti  na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za serikali Professa Musa Assad na Katibu Mkuu Hazina Dkt. Servacious Likwelile wakikata utepe kufungua jengo la ofisi za CAG mjini Dodoma

5

 

4

Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akifunua kitambaa kufungua rasmi jengo la Wizara ya Fedha mjini Dodoma leo.Kulia ni Waziri wa Fedha Bibi Saada Mkuya.

3Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akisaini kitabu cha wageni mashuhuri wakati wa hafla ya ufunguzi wa jengo la Tawi jipya la Benki Kuu mjini Dodoma leo huku Waziri wa Fedha Bibi Saada Mkuya na Gavana wa Benki Kuu Profesa Benno Ndulu wakishuhudia

RAIS JAKAYA MRISHO KIKWETE AONGOZA MAELFU YA WAOMBOLEZAJI KWENYE MAZISHI YA DKT ABDALLAH KIGODA MJINI HANDENI, TANGA OKTOBA 15, 2015

 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwasili nyumbani kwa aliyekuwa Waziri wa Viwanda na Biashara Marehemu Dkt Abdallah Kigoda mjini Handeni Alhamisi Oktoba 15, 2015 kuongoza mamia ya waombolezaji katika mazishi ya Waziri huyo aliyekuwa pia Mbunge wa Handeni kwa zaidi ya miongo miwili 

 

  Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiweka sahihi kwenye kitabu cha maombolezo  nyumbani kwa aliyekuwa Waziri wa Viwanda na Biashara Marehemu Dkt Abdallah Kigoda mjini Handeni Alhamisi Oktoba 15, 2015 kuongoza mamia ya waombolezaji katika mazishi ya Waziri huyo aliyekuwa pia Mbunge wa Handeni kwa zaidi ya miongo miwili

 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimfariji dada wa marehemu Dkt. Asha Kigoda  nyumbani kwa aliyekuwa Waziri wa Viwanda na Biashara Marehemu Dkt Abdallah Kigoda mjini Handeni Alhamisi Oktoba 15, 2015 kuongoza mamia ya waombolezaji katika mazishi ya Waziri huyo aliyekuwa pia Mbunge wa Handeni kwa zaidi ya miongo miwili

 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiifarifi familia  nyumbani kwa aliyekuwa Waziri wa Viwanda na Biashara Marehemu Dkt Abdallah Kigoda mjini Handeni Alhamisi Oktoba 15, 2015 kuongoza mamia ya waombolezaji katika mazishi ya Waziri huyo aliyekuwa pia Mbunge wa Handeni kwa zaidi ya miongo miwili

 Sehemu ya waombolezaji kwenye msiba huo

 Spika Anne Makinda msibani hapo

 Rais Jakaya Mrisho Kikwete na viongozi wengine wa serikali na wa kidini   nyumbani kwa aliyekuwa Waziri wa Viwanda na Biashara Marehemu Dkt Abdallah Kigoda mjini Handeni Alhamisi Oktoba 15, 2015 akiongoza mamia ya waombolezaji katika mazishi ya Waziri huyo aliyekuwa pia Mbunge wa Handeni kwa zaidi ya miongo miwili

 Bw. Saidi Yakub akiendeshe shughuli hiyo

 Sehemu ya waombolezaji

 Sehemu ya waombolezaji

 Katibu Mkuu wa Wizara ya Viwanda na Biashara Bw.Uledi Mussa akisoma wasifu wa marehemu

 

 Waombolezaji

 Sehemu ya waombolezaji

 Brigedia Jenerali Mstaafu  Ngwilizi akiongea machache kuhusu marehemu

 Rais Kikwete akipeana mikono na Naibu Katibu Mkuu wa Chadema Zanzibar, Salumu Mwalimu, ambaye aliwakilisha UKAWA kwenye mazishi hayo

 Ndg. Muhammad Seif Khatibu akisoma rambirambi za CCM 

 Waziri wa Mambo ya Ndani Mhe Mathias Chikawe akitoa rambirambi za serikali

 

 Waombolezaji knamama msibani hapo

 Mufti Mkuu wa Tanzania Sheikh Abubakary Zubeiry bin Ally (mwenye kipaza sauti mkononi) akiongoza swala ya maiti

 Rais Kikwete akiwa anaongozana na Jaji Mkuu wa Tanzania Mhe Mohamed Chande Othman akitoa pole kwa waombolezaji

 Watumishi wa Bunge wakibeba jeneza lililo na mwili wa marehemu kuelekea kaburini

 Mazishi

 Mtoto wa marehemu akiweka udongo kaburini

Rais Kikwete akiweka udongo kaburini