Daily Archives: October 25, 2015

RAIS DKT.JAKAYA MRISHO KIKWETE AKIPIGA KURA YA RAIS, MBUNGE NA DIWANI KATIKA KITUO CHA KUPIGA KURA CHA HOSPITALI YA KIJIJI CHA MSOGA 25, 2015

1

Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiwa katika foleni akisuburi zamu yake ya kupiga kura leo katika kituo cha hospitali ya kijiji cha Msoga kata ya Msoga wilayani Bagamoyo Oktoba 25,2015  

4

2 Ofisa katika kituo cha kupigia kura katika kituo cha hospitali ya kijiji cha Msoga akihakiki kadi ya kupiga kura ya Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete

5 - CopyRais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiandika kura yake ya siri kipiga kura ya Rais Mbunge na Diwani

6   v vccx

 

7

Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akipiga kura ya Rais Mbunge na Diwani katika kituo cha kupiga kura cha hospitali ya kijiji cha Msoga,Kata ya Msoga wilayani Bagamoyo  Kituo ambacho ndiko alipojiandikishia 

8

Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiweka alama ishara ya kuwa tayari ameishapiga kura yake ya siri kuchagua Rais, Mbunge na Diwani

 

 

MWENYEKITI WA CCM TAIFA NA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, DKT. JAKAYA MRISHO KIKWETE AHITIMISHA KAMPENI ZA MGOMBEA WA URAIS DKT.JOHN POMBE MAGUFULI MJI WA MWANZA NA VIUNGA VYAKE OKTOBA 24, 2015

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akimtambulisha Mgombea wa Urais kwa Tiketi ya CCM, Dk. Magufuli ndani ya uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza wakati wa hitimisho la kampeni. 

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete  akiwa na Mgombea wa Urais kwa Tiketi ya CCM, Dk. Magufuli ndani ya uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza wakati wa hitimisho la kampeni. 

Umati wa maelfu ya wananchi wa jiji la Mwanza walifika kuhudhuria uwanja wa CCM kirumba katika hitimisho la Kampeni za Chama Cha Mapinduzi (CCM)

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akiongea machache mtambulisha ndani ya uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza wakati wa hitimisho la kampeni. 

 Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Jakaya Kikwete akimnadi Mgombea Urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli wa pili kutoka kulia, Mgombea Mwenza Mama Samia Hassan Suluhu na wagombea ubunge wa majimbo ya Ilemela Anjela Mabula wa kwanza kushoto  na Stanslaus Mabula Nyamagana wa tatu kutoka kushoto

Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Jakaya Kikwete akimnadi Mgombea Urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli wa pili kutoka kulia,na wagombea ubunge wa majimbo ya Ilemela Anjela Mabula wa kwanza kushoto  na Stanslaus Mabula Nyamagana wa tatu kutoka kushoto.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akiwanadi wagombea ubunge wa Mwanza.Kulia ni mgombea wa Ubunge wa jimbo la Nyamagana Stanslaus Mabula na mgombea wa Ubunge wa jimbo la Ilemela Anjela Mabula.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akiburudika na Mgombea wa Urais kwa Tiketi ya CCM, Dk. Magufuli pamoja na wanakibajaji ndani ya uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza wakati wa hitimisho la kampeni.

 

Umati wa maelfu ya wananchi wa jiji la Mwanza wakifuatilia kufungwa kampeni za chama cha Mapinduzi CCM katika uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza.

Mgombea Mwenza Mama Samia Suhulu, akipokelewa ndani ya uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza wakati wa hitimisho la kampeni.
Wanakibajaji nao hawakuwa nyuma.
Chege na Temba wakitoa burudani.

 Mgombea Mwenza wa Urais wa Jamhuri ya Muungani wa Tanzania,

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akisalimia na Kada wa CCM, Wema Sepetu ndani ya uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza wakati wa hitimisho la kampeni.
Makada wa CCM, Steve Nyerere na Wema wepetu wakiongea ndani ya uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza wakati wa hitimisho la kampeni.
Kazi ni Kazi…. Asha bokooooo akionyesha umahili wa kupiga PUSH UPS….
Asha boko katika ubora wake.
Wema Sepetu katika ubora wake.
Rais ni Magufuli.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akiongea machache mtambulisha ndani ya uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza wakati wa hitimisho la kampeni.
Ujumbe!
Mgombea wa Urais kwa Tiketi ya CCM, Dk. Magufuli akitoa sera zake kwa wananchi waliofika uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza wakati ufungaji wa kampeni.
Mgombea wa Urais kwa Tiketi ya CCM, Dk. Magufuli akiwa na mgombea wa Ubunge wa jimbo la Nyamagana L. Mabula.
Umati wa maelfu ya wananchi wa jiji la Mwanza walifika kuhudhuria uwanja wa CCM kirumba katika hitimisho la Kampeni za Chama Cha Mapinduzi (CCM).
Umati wa maelfu ya wananchi wa jiji la Mwanza walifika kuhudhuria uwanja wa CCM kirumba katika hitimisho la Kampeni za Chama Cha Mapinduzi (CCM)…
Umati wa maelfu ya wananchi wa jiji la Mwanza walifika kuhudhuria uwanja wa CCM kirumba katika hitimisho la Kampeni za Chama Cha Mapinduzi (CCM)…
Umati wa maelfu ya wananchi wa jiji la Mwanza walifika kuhudhuria uwanja wa CCM kirumba katika hitimisho la Kampeni za Chama Cha Mapinduzi (CCM)…
Umati wa maelfu ya wananchi wa jiji la Mwanza walifika kuhudhuria uwanja wa CCM kirumba katika hitimisho la Kampeni za Chama Cha Mapinduzi (CCM).
Umati wa maelfu ya wananchi wa jiji la Mwanza walifika kuhudhuria uwanja wa CCM kirumba katika hitimisho la Kampeni za Chama Cha Mapinduzi (CCM)…
Umati wa maelfu ya wananchi wa jiji la Mwanza walifika kuhudhuria uwanja wa CCM kirumba katika hitimisho la Kampeni za Chama Cha Mapinduzi (CCM)…
Umati wa maelfu ya wananchi wa jiji la Mwanza walifika kuhudhuria uwanja wa CCM kirumba katika hitimisho la Kampeni za Chama Cha Mapinduzi (CCM)…
Mgombea wa Urais kwa Tiketi ya CCM, Dk. Magufuli akiingia uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza wakati ufungaji wa kampeni.
Mgombea wa Urais kwa Tiketi ya CCM, Dk. Magufuli akisindikizwa kuingia uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza wakati ufungaji wa kampeni.
Mgombea mwenza wa CCM nafasi ya urais, Mama Samia Suluhu Hassan akisalimia wananchi wakati akiingia ndani ya uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza wakati ufungaji wa kampeni.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akiingia uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza wakati ufungaji wa kampeni.