Rais aliyemaliza muda wake Mzee Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akiingia uwangani kwa ajili ya kukabidhi madaraka kwa Rais mpya wa awamu ya tano Rais Dkt. John Pombe Magufuli Novemba 5,2015
Akipata heshima kutoka kwa gwaride liloandaliwa rasmi kwa shughuli hiyo
Rais aliyemaliza muda wake Mzee Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akikagua gwaride rasmi lililounda herufi ya Omega ikiashiria mwisho wa utawala wa awamu ya nne Novemba 5,2015
Viongozi Marais wa nchi mbalimbali pamoja na viongonzi kutoka nchi mbalimbali za Afrika na dunia waliohudhuria sherehe hizo wakishudia
Rais anayemaliza muda wake wa uongozni akisalimia na makamu wa Rais anayemaliza muda wake katika jukwaa la kiapo mara baada ya kukagua gwaride ra heshima
viongozi kwenye jukwaa kuu kwa ajili ya shughuli ya kuapa
viongozi wa Dini kwenye jukwaa kuu kwa ajili ya shughuli ya kuapa
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiapa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika uwanja wa Uhuru Novemba 5,2015
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akisaini baada ya kuapa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika uwanja wa Uhuru Novemba 5,2015 aliyesimama ni jaji mkuu jaji Othmani Chande
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akipokea vitendea kazi pamoja na kupongezwa na jaji mkuu baada ya kuapishwa
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa ameshika mkuki na ngao ishara ya utawala
Makamu wa Rais Mhe. Samia Suluhu Hassani akiapa kuwa makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wa awamu ya Tano
Makau wa Rais anayemaliza muda wake akimpongeza makamu wa Rais mpya baada ya kuapishwa
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Joseph Magufuli akikagua gwaride lililoandaliwa rasmi kwa ajili yake mara baada ya kuapishwa Novemba 5,2015
Mufti Mkuu wa Tanzania Sheikh Abubakary Zubeiry bin Ally akisoma dua
Mufti Mkuu wa Tanzania Sheikh Abubakary Zubeiry bin Ally akimpongeza Rais mpya
Mufti Mkuu wa Tanzania Sheikh Abubakary Zubeiry bin Ally akimpongeza Rais mpya
Askofu Dkt. Alex Malasusa wa kanisa la KKKT
Askofu Dkt. Alex Malasusa wa kanisa la KKKT akimpongeza Rais mpya
Askofu Dkt. Alex Malasusa wa kanisa la KKKT akikumbatiana kwa furaha na Rais mpya