Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli, makamu wa Rais, Waziri Mkuu na katibu mkuu kiongozi wakiwasili moja ya kumbi za mikutano ya ikulu kwa ajili ya Rais kutangaza Baraza la Mawaziri Ikulu jijini Dar es salaam Desemba 10,2015
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akitangaza Baraza la Mawaziri Ikulu jijini Dar es salaam Desemba 10,2015
Waandishi wa habari,viongozi na wananchi wakimsikiliza kwa makini Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli wakati akitangaza Baraza la Mawaziri Ikulu jijini Dar es salaam Desemba 10,2015
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Joseph Magufuli akisalimiana kwa furaha na wanahabari mara baada ya kutangaza baraza lake la mawaziri Ikulu jijini Dar es salaam Desemba 10, 2015.
Picha ya pamoja na Waandishi wa habari baada ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli wakati akitangaza Baraza la Mawaziri Ikulu jijini Dar es salaam Desemba10,2015
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Joseph Magufuli akirejea ofisini baada ya kutangaza baraza lake la mawaziri Ikulu jijini Dar es salaam leo Desemba 10, 2015. Kulia kwake ni Makamu wa Rais Mhe. Samia Suluhu Hassan na kushoto ni Waziri Mkuu Mhe Majaliwa Kassim Majaliwa. Kushoto kabisa ni Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue
BARAZA LA MAWAZIRI
RaiswaJamhuriyaMuunganowa Tanzania Dkt. John PombeMagufuliametangazaBaraza la MawaziriambalolitakuwanaWizara 18, Mawaziri 19 naManaibuWaziri 15.
IfuatayoniorodhayawalioteuliwakulingananaWizarazao
- OfisiyaRais (TAMISEMI, Utumishi&Utawala Bora).
I. (Waziri) George Simbachawene
II. (Waziri) AngellaKairuki
III. (NaibuWaziri) JaffoSeleman Said
- OfisiyaMakamuwaRais (MuunganonaMazingira).
I. (Waziri) January Yusuf Makamba
II. (NaibuWaziri) LuhagaJoelsonMpina
- OfisiyaWaziriMkuu (Sera, Bunge, Kazi, Vijana, AjiranaWalemavu).
I. (Waziri) JenistaMhagama
II. (NaibuWaziri) Dkt. AbdallahPossi
III. (NaibuWaziri) Antony Mavunde
- WizarayaKilimo, MifugonaUvuvi.
I. (Waziri) MwiguluLameckNchemba
II. (NaibuWaziri) Willam Tate Ole Nasha
- WizarayaUjenzi, UchukuzinaMawasiliano.
I. (Waziri) – Badohajateuliwa
II. (NaibuWaziri) Eng. Edwin AmandusNgonyani
- WizarayaFedhanaMipango.
I. (Waziri) – Badohajateuliwa
II. (NaibuWaziri) Dkt. AshantuKijaji
- WizarayaNishatinaMadini.
I. (Waziri) Prof. SospeterMwijarubiMuhongo
II. (NaibuWaziri) Dkt. MedardKalemani
- WizarayaKatibanaSheria.
I. (Waziri) Dkt. Harrison Mwakyembe
- Wizaraya Mambo yaNje, UshirikianowaAfrikaMashariki, KikandanaKimataifa.
I. (Waziri) Dkt. Augustine Mahiga
II. (NaibuWaziri) Dkt. Susan AlphonceKolimba
- WizarayaUlinzinaJeshi la KujengaTaifa.
I. (Waziri) Dkt. Hussein Mwinyi
- Wizaraya Mambo yaNdani.
I. (Waziri) Charles Kitwanga
- WizarayaArdhi, NyumbanaMaendeleoyaMakazi.
I. (Waziri) William Lukuvi
II. (NaibuWaziri) Angelina Mabula
- WizarayaMaliasilinaUtalii.
I. (Waziri) – Badohajateuliwa
II. (NaibuWaziri) Eng. RamoMatalaMakani
- WizarayaViwanda, BiasharanaUwekezaji.
I. (Waziri) Charles Mwijage
- WizarayaElimu, Sayansi, TeknolojianaUfundi.
I. (Waziri) – Badohajateuliwa
II. (NaibuWaziri) Eng. Stella Manyanya
- WizarayaAfya, MaendeleoyaJamii, Jinsia, WazeenaWatoto.
I. (Waziri) UmmyMwalimu
II. (NaibuWaziri) Dkt. Hamis Andrea Kigwangalla
- WizarayaHabari, Utamaduni, WasaniinaMichezo.
I. (Waziri) Nape Moses Nnauye
II. (NaibuWaziri) Anastazia James Wambura
I. (Waziri) Prof. MakameMbarawa
II. (Waziri) Eng. IsackKamwele
Mwisho
GersonMsigwa
KaimuMkurugenziMawasiliano, IKULU
10 Desemba, 2015