Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania Dk. John Pombe Magufuli akiongea na Mhe. Song Geum-young, Balozi mteule ya jamhuri ya Korea Hapa Nchini baada ya kupokea hati za utambulisho kutoka kwa Balozi huyo Ikulu jijini Dar es salaam January 5,2016
Picha ya pamoja
Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania Dk. John Pombe Magufuli akiongea na Mhe. Roeland Van de Greer, Balozi Mteule wa Umoja wa Ulaya (EU) Hapa Nchini baada ya kupokea hati za utambulisho kutoka kwa Balozi huyo Ikulu jijini Dar es salaam January 5,2016
Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania Dk. John Pombe Magufuli akiongea na Mhe. Hazem M. Shabat Balozi Mteule wa Palestina Hapa Nchini baada ya kupokea hati za utambulizo kutoka kwa Balozi huyoIkulu jijini Dar es salaam January 5,2016