Daily Archives: January 12, 2016

RAIS DKT. JOHN POMBE MAGUFULI AHUDHURIA KILELE CHA SHEREHE ZA KUTIMIZA MIAKA 52 YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR JANUARI 12,2016

6a30f088-2d91-4eb9-aa55-4513a8bfaf40

 

ddgbtghhh   Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akipigiwa Wimbo wa Taifa katika kilele cha Sherehe za kutimiza Miaka 52 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar zilizofanyika katika uwanja wa Amani, Zanzibar Januari 12,2016

602fea01-ed1c-422a-b85e-5b08c9eaf8a8 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwasalimia mamia ya wananchi (hawapo pichani) katika kilele cha Sherehe za kutimiza Miaka 52 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar.

52eba29d-4480-4a4e-b3f3-53dbf6119220 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akifuatilia kwa makini matukio mbalimbali katika kilele cha Sherehe hizo za miaka 52 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar katika uwanja wa Aman.

688154ac-fd6e-4a34-84f5-b13bf1115376 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Ali Mohamed Shein katika Sherehe hizo.

dcaea98d-2b6a-43da-8d77-f6972f74abb0 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa pamoja na Rais wa Zanzibar Dkt. Ali Mohamed Shein wakiangalia gwaride la heshima lililokuwa likipita mbele yao katika kilele cha Sherehe za kutimiza Miaka 52 ya Mapinduzi matukufu ya Zanzibar.

bd72d48f-f079-40bd-996c-556408d74e5f

 

cbd8578a-78c7-4aab-a871-7d0dd124956b Vikosi vya Majeshi ya Ulinzi na Usalama vikitoa heshima mbele ya Mgeni Rasmi.

2b4b3cd4-779f-4871-8464-d5fd82cecfaf Rais wa Jamhuri ya Muungano Dkt. John Pombe Magufuli akiondoka kwenye Uwanja wa Aman, Zanzibar mara baada ya kumalizika kwa Sherehe za Miaka 52 ya Mapinduzi matukufu ya Zanzibar.

2a57cba4-20e2-42ee-810f-9b3f52a5ad06

 

efd34d6b-0565-44f6-ba56-aa83d0ea4f99 Wananchi mbalimbali waliohudhuria sherehe hizo katika Uwanja wa Aman, Zanzibar.