Monthly Archives: April 2016

RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA DKT. JOHN POMBE MAGUFULI AMEWAAPISHA MAKATIBU TAWALA WAPYA KUMI ALIOWATEUA TAREHE 25 APRILI, 2016 NA KUWAPANGIA VITUO VYAO VYA KAZI.APRIL 27,2016

hhwywyywRais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli Makamu wa rais na katibu mkuu kiongozi katika picha ya pamoja baada ya kuwaapisha Makatibu Tawala wapya kumi aliowateua tarehe 25 Aprili, 2016 na kuwapangia vituo vyao vya kazi.

1

 

2Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli  akimuapisha ndugu Albert Gabriel Msovela kuwa katibu Tawala wa Mkoa wa Shinyanga Ikulu jijini Dar es salaam April 27,2016

1

 

2Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli  akimuapisha ndugu Amantius Casmiri Msole kuwa katibu Tawala wa Mkoa wa Kagera Ikulu jijini Dar es salaam April 27,2016

1

 

2
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli  akimuapisha Dkt. Angelina Mgeni Lutambi kuwa katibu Tawala wa Mkoa wa Singida Ikulu jijini Dar es salaam April 27,2016

1

 

2Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli   akimuapisha Eng. Aisha Salim Amour kuwa katibu Tawala wa Mkoa wa Kilimanjaro Ikulu jijini Dar es salaam

1

 

2Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli   akimuapisha Eng. Zena Ahmed Said kuwa katibu Tawala wa Mkoa wa Tanga Ikulu jijini Dar es salaam April 27,2016

1

 

2 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli    akimuapisha Ndugu Jumanne Abdallah Sagini  kuwa katibu Tawala wa Mkoa wa Simiyu  Ikulu jijini Dar es salaam April 27,2016

2

 

1Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli    akimuapisha Ndugu Richard Nkingwa Kwitega  kuwa katibu Tawala wa Mkoa wa Arusha  Ikulu jijini Dar es salaam April 27,2016

1

 

2Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli    akimuapisha Ndugu Selestine Muhochi Gesimba kuwa katibu Tawala wa Mkoa wa Geita Ikulu jijini Dar es salaam April 27,2016

1

 

2Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli    akimuapisha Ndugu Zuberi Mhina Samataba kuwa katibu Tawala wa Mkoa wa Pwani  Ikulu jijini Dar es salaam April 27,2016

THEA MEDARD NTARA-TABORA-1

 

2 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli    akimuapisha Dkt. Tea Medard Ntara Zena kuwa katibu Tawala wa Mkoa wa Tabora  Ikulu jijini Dar es salaam April 27,2016

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

RAIS DKT. MAGUFULI AKUTANA NA BALOZI WA CHINA HAPA NCHINI DKT. LU YOUQING IKULU JIJINI DAR ES SALAAM APRIL 25,2016

111

 

222Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimsikiliza Balozi wa China hapa nchini Dkt. Lu Youqing Ikulu jijini Dar es Salaam. Balozi Dkt. Lu alifika Ikulu jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kuzungumza masuala mbalimbali ya kimaendeleo na Rais Dkt. Magufuli.

3333Balozi wa China hapa nchini Dkt. Lu Youqing akimkabidhi Rais Dkt. John Pombe Magufuli ujumbe wa barua ya kumpongeza kwa kuchaguliwa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kutoka kwa Rais wa China Xi Jinping Ikulu jijini Dar es Salaam

5Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiagana na Balozi wa China hapa nchini Dkt. Lu Youqing mara baada ya kumaliza mazungumzo yao Ikulu jijini Dar es Salaam

4Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa katika picha na Balozi wa China hapa nchini Dkt. Lu Youqing wanne kutoka kushoto, Waziri wa Ujenzi Profesa Makame Mbarawa wapili kutoka kulia pamoja na maafisa wengine kutoka nchini na Ubalozi wa China.