Daily Archives: May 19, 2016

RAIS DKT. MAGUFULI AKUTANA NA MABALOZI MBALIMBALI PAMOJA NA KATIBU MTENDAJI WA SADC IKULU JIJINI DAR ES SALAAMMEI 19,2016

1 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimkaribisha Balozi wa Ujerumani hapa nchini Ndugu Egon Kochanke Ikulu jijini Dar es Salaam

2 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimsikiliza Balozi wa Ujerumani hapa nchini Ndugu Egon Kochanke wakati wa mazungumzo yao Ikulu jijini Dar es Salaam Mei 19,2016

3 Balozi wa Ujerumani hapa nchini Ndugu Egon Kochanke akimkabidhi Kitabu Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli mara baada ya kumaliza mazungumzo yao Ikulu jijini Dar es Salaam

4Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiagana na Balozi wa Ujerumani hapa nchini Ndugu Egon Kochanke mara baada ya kumaliza mazungumzo yao Ikulu jijini Dar es Salaam.

5 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimkaribisha Ikulu Balozi wa Uturuki hapa nchini Yasemin Aralp aliyefika kwa ajili ya kufanya mazungumzo na Rais Dkt. Magufuli.

6 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na Balozi wa Denmark hapa nchini Eina Hebogrd Ikulu jijini Dar es Salaam.

7Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiagana na Balozi wa Denmark hapa nchini Eina Hebogrd mara baada ya kumaliza mazungumzo yao Ikulu jijini Dar es Salaam.

8 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na Katibu Mtendaji wa SADC Dkt. Stergomena Tax Ikulu jijini Dar es Salaam. Dkt. Stergomena alifika Ikulu kwa ajili ya kufanya mazungumzo na Rais Dkt. Magufuli

9 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa katika picha ya pamoja na Katibu Mtendaji wa SADC Dkt. Stergomena Tax pamoja na Maafisa wengine kutoka Ikulu na Wizara ya Mambo ya Nje.

10Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa katika picha ya pamoja na Balozi wa Ujerumani hapa nchini Ndugu Egon Kochanke pamoja na ujumbe wake. Wengine katika picha ni Maafisa mbalimbali kutoka Ikulu.