Daily Archives: March 16, 2017

RAIS DKT.JOHN POMBE MAGUFULI ATEMBELEA ENEO LA UJENZI WA IKULU CHAMWINO MKOANI DODOMA MARCH 16,2017

 

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli akiwa na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa pamoja na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi John Kijazi wakimsikiliza Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Majengo nchini (TBA) Elius Mwakalinga kuhusu kazi za ufyatuaji wa Matofali yatakayotumika katika ujenzi wa Ikulu Chamwino mkoani Dodoma

 

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli pamoja na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa wakikagua matofali yaliyokatika hatua ya Ukomazaji katika maji.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli pamoja na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa wakikagua matofali ambayo yameshakuwa tayari kwa ajili ya ujenzi wa majengo ya Ikulu Chamwino mkoani Dodoma.

 

 

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli akibeba moja ya tofali mara baada ya kukagua matofali yatakayotumika katika ujenzi wa Ikulu, Chamwino mkoani Dodoma.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na vijana wanaoshiriki katika kazi za kubeba matofali katika eneo hilo la ufyatuaji wa matofali, Chamwino mkoani Dodoma.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli akikagua moja ya matofali yatakayotumika katika ujenzi wa Ikulu, Chamwino mkoani Dodoma, huku Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akiangalia March 16,2017

 

 

 

 

 

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli akiwa pamoja na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa wakishiriki katika kazi za ufyatuaji wa Matofali yatakayotumika katika ujenzi wa Ikulu, Chamwino mkoani Dodoma