Daily Archives: May 11, 2017

RAIS DKT.JOHN POMBE MAGUFULI PAMOJA NA MGENI WAKE RAIS WA AFRIKA KUSINI JACOB ZUMA WAHUDHURIA KATIKA JUKWAA LA WAFANYABIASHARA JIJINI DAR ES SALAAM MEI 11,2017

 

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na Wafanyabiashara mbalimbali wa nchini pamoja na Afrika ya Kusini wakati aliposhiriki pamoja na Rais wa Afrika Kusini Jacob Zuma katika Jukwaa hilo la Wafanyabiashara jijini Dar es Salaam.

Sehemu ya Wafanyabiashara mbalimbali wa Tanzania na Afrika Kusini waliohudhuria katika Jukwaa hilo la Wafanyabiashara jijini Dar es Salaam.

 

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akijadiliana jambo na Rais wa Afrika Kusini Jacob Zuma mara baada ya kutoka kwenye Jukwaa hilo la Wafanyabiashara wa Tanzania na Afrika Kusini lililofanyika jijini Dar es Salaam.

 

Sehemu ya Wafanyabiashara mbalimbali wa Tanzania na Afrika Kusini waliohudhuria katika Jukwaa hilo la Wafanyabiashara jijini Dar es Salaam.

Rais wa Afrika Kusini Jacob Zuma akisoma hotuba yake katika Jukwaa hilo la Wafanyabiashara wa Tanzania na Afrika Kusini lililofanyika jijini Dar es Salaam.

 

RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA DKT. JOHN POMBE MAGUFULI AMPOKEA RAIS WA JAMHURI YA AFRIKA KUSINI MHE. JACOB ZUMA IKULU JIJINI DAR ES SALAAM MEI 11,2017

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli     na Rais wa Jamhuri ya Afrika Kusini Mhe. Jacob Zuma wakiwa wamesimama huku Nyimbo za Mataifa mawili zikiimbwa Ikulu jijini Dar es salaam mei 11,2017

Rais wa Jamhuri ya Afrika Kusini Mhe. Jacob Zuma wakiwa wamesimama huku Nyimbo za Mataifa mawili zikiimbwa Ikulu jijini Dar es salaam mei 11,2017

 

 

Rais wa Jamhuri ya Afrika Kusini Mhe. Jacob Zuma akikagua gwaride lililoandaliwa kwa heshima yake na kikosi cha Jeshi la Wananchi wa Tanzania mara baada ya kuwasili Ikulu jijini Dar es salaam mei 11,2017

Rais wa Jamhuri ya Afrika Kusini Mhe. Jacob Zuma akiteta jambo na mwenyeji wake Rais Dkt. John Pombe Magufuli mara baada ya kuwasili Ikulu jijini Dar es salaam mei 11,2017

 

Rais wa Jamhuri ya Afrika Kusini Mhe. Jacob Zuma pamoja na mwenyeji wake Rais Dkt. John Pombe Magufuli akipungia mkono baadhi ya wafanyakazi wa Ikulu na wananchi waliofika kumpokea mara baada ya kuwasili Ikulu jijini Dar es salaam mei 11,2017

 

 

Rais wa Jamhuri ya Afrika Kusini Mhe. Jacob Zuma akipiga ngoma mara baada ya kuwasili Ikulu jijini Dar es salaam mei 11,2017

Rais wa Jamhuri ya Afrika Kusini Mhe. Jacob Zuma  ikiwasili Ikulu jijini Dar es salaam huku akiongozana na mwenyeji wake Rais Dkt. John Pombe Magufuli Mei 11,2017

 

 

 

Rais Dkt. John Pombe Magufuli akimkabidhi mgeni wake Rais wa Jamhuri ya Afrika Kusini Mhe. Jacob Zuma zawadi mara baada ya kuwasili Ikulu jijini Dar es salaam mei 11,2017

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimshukuru mgeni wake Rais wa Afrika Kusini Jacob Zuma mara baada ya kuzungumza na wanahabari Ikulu jijini Dar es Salaam.

Mke wa Rais Mama Janeth Magufuli akifurahia jambo pamoja na Mama Sizakele Zuma Mke wa Rais wa Afrika Kusini Jacob Zuma aliyeambatana na msaidizi wake Ikulu jijini Dar es Salaam.

Mke wa Rais Mama Janeth Magufuli akiwa katika picha ya pamoja na Mama Sizakele Zuma Mke wa Rais wa Afrika Kusini Jacob Zuma mara baada ya kufika ofisini kwake Ikulu jijini Dar es Salaam.