Daily Archives: May 27, 2017

RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA DKT. JOHN POMBE MAGUFULI AWAPISHA BALOZI, MAKATIBU TAWALA WA MIKOA NA MKURUGENZI WA KITUO CHA UWEKEZAJI TANZANIA (TIC) IKULU JIJINI DAR ES SALAAM MEI 27,2017

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimuapisha Ndugu Tixon Tunyangine Nzunda kuwa Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais, TAMISEMI Ikulu jijini Dar es salaam Mei 27,2017

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimuapisha Ndugu Rajab Omar Luhwazi kuwa Balozi nchini Msumbiji Ikulu jijini Dar es salaam Mei 27,2017

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimuapisha Ndugu Bernard Mtandi Makandi kuwa katibu Tawala Mkoa wa Rukwa  Ikulu jijini Dar es salaam Mei 27,2017

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimuapisha Ndugu Clifford Katondo Tandari kuwa katibu Tawala Mkoa wa Rukwa  Ikulu jijini Dar es salaam Mei 27,2017

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimuapisha Ndugu Geoffrey Idelphonce Mwambe kuwa Mkurugenzi mtendaji wa kituo cha Uwekezaji Tanzania (TIC)  Ikulu jijini Dar es salaam Mei 27,2017

Viongozi walioapishwa wakila kiapo cha maadili ya utumishi wa umma