Monthly Archives: November 2017

MWENYEKITI WA CCM TAIFA NA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA DKT.JOHN POMBE MAGUFULI AONGOZA KIKAO CHA HALMASHAURI KUU YA TAIFA YA CHAMA CHA MAPINDUZI NEC JIJINI DAR ES SALAAAM NOVEMBA 21,2017.

Mwenyekiti wa CCM Taifa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.John Pombe Magufuli akifungua Mkutano mkuu wa Halmashauri kuu ya Taifa (NEC) uliofanyika jijini Dar es salaam Novemba 21,2017.

Mwenyekiti wa CCM Taifa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.John Pombe Magufuli akiongoza Mkutano mkuu wa Halmashauri kuu ya Taifa (NEC) uliofanyika jijini Dar es salaam Novemba 21,2017.

Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar na Rais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar Dkt Ally Mohammed Shein akimpa mkono wa karibu aliyekuwa mwanachama mwandamizi wa ACT wazalendo Bi.Edna Sunga baada ya kuomba kurudi katika chama cha mapinduzi katika  Mkutano mkuu wa Halmashauri kuu ya Taifa (NEC) uliofanyika jijini Dar es salaam Novemba 21,2017.

 

Aliyekuwa mwanachama wa CHADEMA Bw.Laurence Kego Masha akiomba kurejea chama cha mapinduzi (CCM) katika  Mkutano mkuu wa Halmashauri kuu ya Taifa (NEC) uliofanyika jijini Dar es salaam Novemba 21,2017.

Aliyekuwa mwanachama wa ACT-wazalendo Bw.Albart Msando akiomba kujiunga na chama cha mapinduzi (CCM) katika  Mkutano mkuu wa Halmashauri kuu ya Taifa (NEC) uliofanyika jijini Dar es salaam Novemba 21,2017.

Mwenyekiti wa CCM Taifa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.John Pombe Magufuli akimpa mkono wa karibu aliyekuwa mwanachama wa CHADEMA na mwenyekiti wa BAVICHA Taifa  Bw.Patrobas Ktambi baada ya kuomba kujiunga na chama cha mapinduzi (CCM) katika  Mkutano mkuu wa Halmashauri kuu ya Taifa (NEC) uliofanyika jijini Dar es salaam Novemba 21,2017.

Baadhi ya wanachama walioomba  kujiunga na chama cha mapinduzi (CCM) katika  Mkutano mkuu wa Halmashauri kuu ya Taifa (NEC) uliofanyika jijini Dar es salaam Novemba 21,2017.

Wanachama wa chama cha mapinduzi (CCM) wakinyoosha mikono kuashilia kukubali kumrejesha Bi.Sophia Simba aliyekuwa amefukuzwa uanachama katika  Mkutano mkuu wa Halmashauri kuu ya Taifa (NEC) uliofanyika jijini Dar es salaam Novemba 21,2017.

MWENYEKITI WA CCM TAIFA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA DKT. JOHN POMBE MAGUFULI AONGOZA KIKAO CHA KAMATI KUU YA CCM JIJINI DAR ES SALAAM NOVEMBA 20,2017.

Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la mapinduzi Dkt. Ali Mohamed Shein akiwa kaongozana na Katibu Mkuu wa chama hicho  Ndugu Abdulrahman Kinana akiwasili kuongoza kikao cha Kamati Kuu ya CCM  jijini Dar es salaam Novemba 20, 2017

 

Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Rais Dkt John Pombe Magufuli akiwa na Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akiwasili kuongoza kikao cha Kamati Kuu ya CCM  jijini Dar es salaam Novemba 20, 2017

 

Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM)  Ndugu Abdulrahman Kinana akithibitisha kutimia kwa akidi kabla ya kuanza kwa kikao cha Kamati Kuu ya CCM jijini Dar es salaam kinachoongozwa na Mwenyekiti wa chama hicho Rais Dkt. John Pombe Magufuli Novemba 20, 2017

Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Rais Dkt John Pombe Magufuli akiweka sawa makabrasha kabla ya kuanza kwa kikao cha Kamati Kuu ya CCM  jijini Dar es salaam  20, 2017.