Daily Archives: December 15, 2017

MWENYEKITI WA CCM NA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA DKT. JOHN POMBE MAGUFULI AONGOZA KIKAO CHA KAMATI KUU YA CCM MKOANI DODOMA DISEMBA 15,2017.

Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Rais Dkt John Pombe Magufuli akisaliamiana na Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akiwasili kuongoza kikao cha Kamati Kuu ya CCM mkoani Dodoma Disemba 15, 2017.

Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Rais Dkt John Pombe Magufuli akiimba wimbo pamoja na wajumbe wengine   katika  kikao cha Kamati Kuu ya CCM kilichofanyika mkoani Dodoma Disemba 15, 2017.

Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Rais Dkt John Pombe Magufuli akifungua  kikao cha Kamati Kuu ya CCM kilichofanyika mkoani Dodoma Disemba 15, 2017.

 

Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Rais Dkt John Pombe Magufuli akioongoza kikao cha Kamati Kuu ya CCM kilichofanyika mkoani Dodoma Disemba 15, 2017