Daily Archives: January 16, 2018

RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA DKT. JOHN POMBE MAGUFULI APOKEA HATI ZA UTAMBULISHO WA MABALOZI 6 IKULU JIJINI DAR ES SALAAM.JANUARI 16,2018.

Balozi Mteule Dkt.Sahabu Isah Gada aliyeteuliwa kuwa balozi wa Nigeria nchini,akitia sahihi katika kitabu cha wageni alipowasili Ikulu Jijini Dar es Salaam. Januari 16,2018.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akipokea hati ya utambulisho kutoka kwa Balozi Dkt.Sahabu Isah Gada aliyeteuliwa kuwa balozi wa Nigeria nchini.Januari 16,2018 Ikulu Jijini Dar es Salaam.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na Balozi Dkt.Sahabu Isah Gada wa Nigeria mara baada ya kupokea hati ya utambulisho ya kuwa Balozi wa Nigeria nchini.Januari 16,2018 Ikulu Jijini Dar es Salaam.

Balozi Mteule Krzysztof Buzalski aliyeteuliwa kuwa Balozi wa Poland nchini, akitia sahihi katika kitabu cha wageni alipowasili Ikulu Jijini Dar es Salaam. Januari 16,2018.

 

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na Balozi Krzysztof Buzalski wa Poland mara baada ya kupokea hati ya utambulisho ya kuwa Balozi wa Poland nchini.Januari 16,2018 Ikulu Jijini Dar es Salaam

Balozi Mteule Ali Davutoglu aliyeteuliwa kuwa Balozi wa Uturuki nchini akitia sahihi katika kitabu cha wageni alipowasili Ikulu Jijini Dar es Salaam. Januari 16,2018.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na Balozi Ali Davutoglu aliyeteuliwa kuwa balozi wa Uturuki nchini.Januari 16,2018 Ikulu Jijini Dar es Salaam.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akipokea hati ya utambulisho kutoka kwa Balozi Ali Davutoglu aliyeteuliwa kuwa balozi wa Uturuki nchini.Januari 16,2018 Ikulu Jijini Dar es Salaam.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na Balozi Ali Davutoglu wa Uturuki mara baada ya kupokea hati ya utambulisho ya kuwa Balozi wa Uturuki nchini.Januari 16,2018 Ikulu Jijini Dar es Salaam

Balozi Mteule Frederic Clavier aliyeteuliwa kuwa Balozi wa Ufaransa nchini akitia sahihi katika kitabu cha wageni alipowasili Ikulu Jijini Dar es Salaam. Januari 16,2018.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akipokea hati ya utambulisho kutoka kwa Frederic Clavier aliyeteuliwa kuwa balozi waUfaransa nchini.Januari 16,2018 Ikulu Jijini Dar es Salaam.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na Balozi Frederic Clavier wa Ufaransa mara baada ya kupokea hati ya utambulisho ya kuwa Balozi wa Ufaransa nchini.Januari 16,2018 Ikulu Jijini Dar es Salaam.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na Balozi Frederic Clavier wa Ufaransa mara baada ya kupokea hati ya utambulisho ya kuwa Balozi wa Ufaransa nchini.Januari 16,2018 Ikulu Jijini Dar es Salaam.

Balozi Mteule Noah Gal Gendler  aliyeteuliwa kuwa Balozi wa Israel nchini akitia sahihi katika kitabu cha wageni alipowasili Ikulu Jijini Dar es Salaam. Januari 16,2018.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akipokea hati ya utambulisho kutoka kwa Mhe.Noah Gal Gendler aliyeteuliwa kuwa Balozi wa Israel  nchini.Januari 16,2018 Ikulu Jijini Dar es Salaam.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na Balozi Noah Gal Gendler wa Ufaransa mara baada ya kupokea hati ya utambulisho ya kuwa Balozi wa Israel nchini.Januari 16,2018 Ikulu Jijini Dar es Salaam.
Balozi Mteule Alison Chartres  aliyeteuliwa kuwa Balozi wa Australia nchini akitia sahihi katika kitabu cha wageni alipowasili Ikulu Jijini Dar es Salaam. Januari 16,2018.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akipokea hati ya utambulisho kutoka kwa Mhe.Alison Chartres   aliyeteuliwa kuwa Balozi wa Australia  nchini.Januari 16,2018 Ikulu Jijini Dar es Salaam.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na Bw.Robert Sirotka Mume wa Balozi Alison Chartres aliyeteuliwa kuwa balozi wa Australia nchini.Januari 16,2018 Ikulu Jijini Dar es Salaam.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na Balozi Noah Gal Gendler wa Ufaransa mara baada ya kupokea hati ya utambulisho ya kuwa Balozi Alison Chartres wa Australia nchini.Januari 16,2018 Ikulu Jijini Dar es Salaam.