Daily Archives: April 18, 2018

RAIS DKT.JOHN POMBE MAGUFULI ATOA MKONO WA POLE KWA FAMILIA YA MRISHO GAMBO NA KUWAJULIA HALI WAGONJWA WALIOLAZWA KATIKA TAASISI YA JAKAYA MRISHO KIKWETE JIJINI DAR ES SALAAM.APRILI 18,2018

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akisaini katika kitabu cha maombolezo mara baada kuwasili kutoa pole kwa Familia ya Mashaka Gambo kwa kufiwa na mkewe Rehema Mumbuli ambaye pia ni mama mzazi wa Mrisho Gambo mkuu wa mkoa wa Arusha,Mtaa wa Muheza Kariakoo Jijini Dar es salaam.Aprili 18,2018.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na mkuu wa Wilaya ya Kigamboni Hashim Mgandilwa  pamoja na wanafamilia wengine mara baada kuwasili kutoa pole kwa Familia ya Mashaka Gambo kwa kufiwa na mkewe Rehema Mumbuli ambaye pia ni mama mzazi wa Mrisho Gambo mkuu wa mkoa wa Arusha,Mtaa wa Muheza Kariakoo Jijini Dar es salaam.Aprili 18,2018.

Mufti mkuu wa Tanzania Sheihk Abubakari Zubeiry akiwa pamoja na Sheihk wa Mkoa Alhaji Mussa Salum  wakiwa katika msiba wa  Rehema Mumbuli ambaye pia ni mama mzazi wa Mrisho Gambo mkuu wa mkoa wa Arusha,Mtaa wa Muheza Kariakoo Jijini Dar es salaam.Aprili 18,2018.

 

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa na mkewe Mama Janeth Magufuli wakiwa na waombolezaji wengine mara baada ya kutoa pole kwa Familia ya Mashaka Gambo kwa kufiwa na mkewe Rehema Mumbuli ambaye pia ni mama mzazi wa Mrisho Gambo mkuu wa mkoa wa Arusha,Mtaa wa Muheza Kariakoo Jijini Dar es salaam.Aprili 18,2018.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimpa pole Mrisho Gambo Mkuu wa mkoa wa Arusha kwa kufiwa na mama yake mzazi Rehema Mumbuli ,Mtaa wa Muheza Kariakoo Jijini Dar es salaam.Aprili 18,2018.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na  Mrisho Gambo Mkuu wa mkoa wa Arusha mara baada ya kumpa pole kwa kufiwa na mama yake mzazi Rehema Mumbuli ,Mtaa wa Muheza Kariakoo Jijini Dar es salaam.Aprili 18,2018.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa na mkewe Mama Janeth Magufuli wakitoa pole kwa Mzee Mashaka Gambo kwa kufiwa na mkewe Rehema Mumbuli ambaye pia ni mama mzazi wa Mrisho Gambo mkuu wa mkoa wa Arusha,Mtaa wa Muheza Kariakoo Jijini Dar es salaam.Aprili 18,2018.

 

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwaaga waombolezaji wengine mara baada ya kutoa pole kwa Familia ya Mashaka Gambo kwa kufiwa na mkewe Rehema Mumbuli ambaye pia ni mama mzazi wa Mrisho Gambo mkuu wa mkoa wa Arusha,Mtaa wa Muheza Kariakoo Jijini Dar es salaam.Aprili 18,2018.

 

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa na mkewe Mama Janeth Magufuli wakimjulia hali Dkt.Juma Ngasongwa aliyekuwa waziri wa Viwanda na biashara wa awamu pili ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania aliyelazwa katika Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete Jijini Dar es salaam.Aprili 18,2018.

 

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akizungumzana Profesa Janabi alipomtebelea ili kumjulia hali Dkt.Juma Ngasongwa aliyekuwa waziri wa Viwanda na biashara wa awamu pili ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania aliyelazwa katika Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete Jijini Dar es salaam.Aprili 18,2018.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiagana mara baada ya kumjulia hali Dkt.Juma Ngasongwa aliyekuwa waziri wa Viwanda na biashara wa awamu pili ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania aliyelazwa katika Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete Jijini Dar es salaam.Aprili 18,2018.

 

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa na mkewe Mama Janeth Magufuli wakimjulia hali Mzee Celestine Bulima aliyelazwa katika Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete Jijini Dar es salaam.Aprili 18,2018.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa na mkewe Mama Janeth Magufuli wakimuombea walipomtembelea ili kumjulia hali Mzee Celestine Bulima aliyelazwa katika Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete Jijini Dar es salaam.Aprili 18,2018.

 

 

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimsikiliza Profesa Janabi akielezea kuhusu  viwango vya huduma ya taasisi hiyo kwa mwaka 2017 mara baada ya kuwatembelea na kuwajulia hali wagonjwa waliolazwa katika Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete Jijini Dar es salaam.Aprili 18,2018.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akizungumzana Profesa Janabi mara baada ya kuwatembelea na kuwajulia hali wagonjwa waliolazwa katika Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete Jijini Dar es salaam.Aprili 18,2018.