Daily Archives: April 28, 2018

MWENYEKITI WA CCM TAIFA MHE.RAIS DKT.JOHN POMBE MAGUFULI AKUTANA NA WABUNGE WA CHAMA CHA MAPINDUZI JIJINI DODOMA.APRILI 28,2018

 

 

Mwenyekiti wa Wabunge wa CCM ambaye pia ni Waziri Mkuu Mhe.Kassim Majariwa akizungumza mbele ya Mwenyekiti wa Ccm Taifa Mhe.Rais Dkt.John Pombe Magufuli alipokutana na wabunge wa chama cha mapinduzi katika ukumbi wa White house Jijini Dodoma.Aprili 28,2018.

Spika wa Bunge Mhe.Job Ndugai akizungumza mbele ya Mwenyekiti wa Ccm Taifa Mhe.Rais Dkt.John Pombe Magufuli alipokutana na wabunge wa chama cha mapinduzi katika ukumbi wa White house Jijini Dodoma.Aprili 28,2018.

 

Mwenyekiti wa Ccm Taifa Mhe.Rais Dkt.John Pombe Magufuli akizungumza na wabunge wa chama cha mapinduzi katika ukumbi wa White house Jijini Dodoma.Aprili 28,2018.

 

Mwenyekiti wa Ccm Taifa Mhe.Rais Dkt.John Pombe Magufuli akizungumza na wabunge wa chama cha mapinduzi katika ukumbi wa White house Jijini Dodoma.Aprili 28,2018.

Wabunge wa Chama cha Mapinduzi wakimshangilia na kumpongeza  Mwenyekiti wa Ccm Taifa Mhe.Rais Dkt.John Pombe Magufuli alipokutana na kuzungumza na wabunge hao katika ukumbi wa White house Jijini Dodoma.Aprili 28,2018.

Mwenyekiti wa Ccm Taifa Mhe.Rais Dkt.John Pombe Magufuli akipeana mikono Wabunge wa Chama cha Mapinduzi CCM mara baada ya kuzungumza na wabunge hao katika ukumbi wa White house Jijini Dodoma.Aprili 28,2018.

Mwenyekiti wa Ccm Taifa Mhe.Rais Dkt.John Pombe Magufuli akiwapungia mikono Wabunge wa Chama cha Mapinduzi CCM mara baada ya kuzungumza na wabunge hao katika ukumbi wa White house Jijini Dodoma.Aprili 28,2018.

 

Mwenyekiti wa Ccm Taifa Mhe.Rais Dkt.John Pombe Magufuli akipeana mikono Wabunge wa Chama cha Mapinduzi CCM mara baada ya kuzungumza na wabunge hao katika ukumbi wa White house Jijini Dodoma.Aprili 28,2018.

RAIS DKT.JOHN POMBE MAGUFULI AZUNGUMZA NA WAKAZI WA VEYURA JIJINI DODOMA.APRILI 27,2018

Wananchi wa Veyura wakimshangilia Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli mara baada ya kusimama kuwasalimia akitokea Bicha Kondoa mkoani Dodoma kufungua barabara ya Dodoma-Babati km 251 .Aprili 27,2018.

 

 

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na Wananchi wa Veyura mara baada ya kusimama kuwasalimia akitokea Bicha Kondoa mkoani Dodoma kufungua barabara ya Dodoma-Babati km 251 .Aprili 27,2018.

 

Wanafunzi wa shule ya msingi Veyura pamoja na wananchi wa Veyura wakimsikiliza  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli mara baada ya kusimama kuwasalimia akitokea Bicha Kondoa mkoani Dodoma kufungua barabara ya Dodoma-Babati km 251 .Aprili 27,2018.

Wanafunzi wa shule ya msingi Veyura pamoja na wananchi wa Veyura wakimshangilia Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli mara baada ya kusimama kuwasalimia akitokea Bicha Kondoa mkoani Dodoma kufungua barabara ya Dodoma-Babati km 251 .Aprili 27,2018.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akimuagiza kaimu Mkuu wa Wilaya ya Dodoma kuhusu Ujenzi wa madarasa ya shule ya msingi Veyura aliposimama kuwasalimia akitokea Bicha Kondoa mkoani Dodoma kufungua barabara ya Dodoma-Babati km 251 .Aprili 27,2018.