Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Rais Dkt John Pombe Magufuli akiwashukuru wajumbe wa Tume aliyounda kuhakiki mali za CCM alipokutana nao na kupokea ripoti ya uchunguzi wao katika Ofisi Ndogo za Makao Makuu ya Chama hicho Mtaa wa Lumbumba jijini Dar es salaam. Mei 21, 2018.
Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Rais Dkt John Pombe Magufuli akiwashukuru wajumbe wa Tume aliyounda kuhakiki mali za CCM alipokutana nao na kupokea ripoti ya uchunguzi wao katika Ofisi Ndogo za Makao Makuu ya Chama hicho Mtaa wa Lumbumba jijini Dar es salaam.Mei 21, 2018
Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Rais Dkt John Pombe Magufuli akimshukuru Mwenyekiti wa Tume aliyounda kuhakiki mali za CCM Dkt Bashiru Ally alipokutana nao na kupokea ripoti ya uchunguzi wao katika Ofisi Ndogo za Makao Makuu ya Chama hicho Mtaa wa Lumbumba jijini Dar es salaam.Mei 21, 2018.
Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Rais Dkt John Pombe Magufuli akiwashukuru wajumbe wa Tume aliyounda kuhakiki mali za CCM alipokutana nao na kupokea ripoti ya uchunguzi wao katika Ofisi Ndogo za Makao Makuu ya Chama hicho Mtaa wa Lumbumba jijini Dar es salaam.Mei 21, 2018
Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Rais Dkt John Pombe Magufuli akipata maelezo mbalimbali ya uchunguzi toka kwa Mwenyekiti wa Tume aliyounda kuhakiki mali za CCM Dkt. Bashiru Ally alipokutana nao na kupokea ripoti ya uchunguzi wao katika Ofisi Ndogo za Makao Makuu ya Chama hicho Mtaa wa Lumbumba jijini Dar es salaam.Mei 21, 2018
Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Rais Dkt John Pombe Magufuli akiwashukuru wajumbe wa Tume aliyounda kuhakiki mali za CCM alipokutana nao na kupokea ripoti ya uchunguzi wao katika Ofisi Ndogo za Makao Makuu ya Chama hicho Mtaa wa Lumbumba jijini Dar es salaam.Mei 21, 2018
Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Rais Dkt John Pombe Magufuli akipata maelezo mbalimbali ya uchunguzi toka kwa Mwenyekiti wa Tume aliyounda kuhakiki mali za CCM Dkt. Bashiru Ally alipokutana nao na kupokea ripoti ya uchunguzi wao katika Ofisi Ndogo za Makao Makuu ya Chama hicho Mtaa wa Lumbumba jijini Dar es salaam.Mei 21, 2018.
Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Rais Dkt John Pombe Magufuli akijiandaa kupokea External Hard Drive yenye video na sauti za wahojiwa wote toka kwa Mwenyekiti wa Tume aliyounda kuhakiki mali za CCM Dkt. Bashiru Ally alipokutana nao na kupokea ripoti ya uchunguzi wao katika Ofisi Ndogo za Makao Makuu ya Chama hicho Mtaa wa Lumbumba jijini Dar es salaam.Mei 21, 2018.
Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Rais Dkt John Pombe Magufuli akimsikiliza Katibu wa Itikadi na Uenezi Ndg. Humphrey Polepole alipokutana na Sekretarieti ya CCM pamoja na Tume aliyounda kuhakiki mali za Chama hicho na kupokea ripoti ya uchunguzi wao katika Ofisi Ndogo za Makao Makuu ya Chama hicho Mtaa wa Lumbumba jijini Dar es salaam.Mei 21, 2018
Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Rais Dkt John Pombe Magufuli akipata maelezo mbalimbali ya uchunguzi toka kwa Mwenyekiti wa Tume aliyounda kuhakiki mali za CCM Dkt. Bashiru Ally alipokutana nao na kupokea ripoti ya uchunguzi wao katika Ofisi Ndogo za Makao Makuu ya Chama hicho Mtaa wa Lumbumba jijini Dar es salaam.Mei 21, 2018
Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Rais Dkt John Pombe Magufuli akipata maelezo mbalimbali ya vielelezo mbalimbali vilivyopatikana katika uchunguzi toka kwa Mwenyekiti wa Tume aliyounda kuhakiki mali za CCM Dkt. Bashiru Ally alipokutana nao na kupokea ripoti ya uchunguzi wao katika Ofisi Ndogo za Makao Makuu ya Chama hicho Mtaa wa Lumbumba jijini Dar es salaam.Mei 21, 2018.
Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Rais Dkt John Pombe Magufuli akipata maelezo mbalimbali ya uchunguzi toka kwa Mwenyekiti wa Tume aliyounda kuhakiki mali za CCM Dkt. Bashiru Ally alipokutana nao na kupokea ripoti ya uchunguzi wao katika Ofisi Ndogo za Makao Makuu ya Chama hicho Mtaa wa Lumbumba jijini Dar es salaam.Mei 21, 2018 .
Ofisi Ndogo za CCM mtaa wa Lumumba Jijini Dar es salaam
Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Rais Dkt John Pombe Magufuli akilakiwa na Makamu Mwenyekiti wa CCM (Bara) Mzee Philip Mangula alipowasili kukutana na Tume aliyounda kuhakiki mali za CCM na kupokea ripoti ya uchunguzi wao katika Ofisi Ndogo za Makao Makuu ya Chama hicho Mtaa wa Lumbumba jijini Dar es salaam.Mei 21, 2018