Daily Archives: September 22, 2018

RAIS DKT.JOHN POMBE MAGUFULI ATANGAZA SIKU NNE ZA MAOMBOLEZO KUANZIA SEPTEMBA 21,2018 KUFUATIA AJALI YA KUZAMA KWA KIVUKO CHA MV NYERERE KATIKA ZIWA VICTORIA WILAYANI UKEREWE MKOANI MWANZA

 

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza kuhusiana na ajali ya kuzama kwa Kivuko cha MV Nyerere kilichokuwa kikifanya safari zake kati ya kisiwa cha Bugolora na Ukara katika ziwa Victoria Wilayani Ukerewe mkoani Mwanza ambapo watu 131 wanahofiwa kupoteza maisha. Pia Rais Dkt. Magufuli ametangaza siku nne za Maombolezo kuanzia tarehe 21 Septemba 2018.

 

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza kuhusiana na ajali ya kuzama kwa Kivuko cha MV Nyerere kilichokuwa kikifanya safari zake kati ya kisiwa cha Bugolora na Ukara katika ziwa Victoria Wilayani Ukerewe mkoani Mwanza ambapo watu 131 wanahofiwa kupoteza maisha. Pia Rais Dkt. Magufuli ametangaza siku nne za Maombolezo kuanzia tarehe 21 Septemba 2018.