Daily Archives: September 4, 2019

RAIS DKT. MAGUFULI AFUNGUA MKUTANO WA MASHAURIANO WA MWAKA WA AQRB, ERB, CRB PAMOJA NA WADAU MBALIMBALI WA SEKTA YA UJENZI NCHINI, JIJINI DAR ES SALAAM

 

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akihutubia wadau mbalimbali kutoka Bodi ya Usajili Wabunifu na Wakadiriaji Majenzi (AQRB), Bodi ya Usajili Wakandarasi (CRB) Bodi ya Usajili wa Wahandisi (ERB) pamoja na wadau wa Sekta ya Ujenzi kabla ya kufungua mkutano huo wa Mwaka wa Mashauriano katika Bodi na Taasisi hiyo.

 

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akihutubia wadau mbalimbali kutoka Bodi ya Usajili Wabunifu na Wakadiriaji Majenzi (AQRB), Bodi ya Usajili Wakandarasi (CRB) Bodi ya Usajili wa Wahandisi (ERB) pamoja na wadau wa Sekta ya Ujenzi kabla ya kufungua mkutano huo wa Mwaka wa Mashauriano katika Bodi na Taasisi hiyo.

 

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akikagua vifaa mbalimbali vya Mabomba ya Maji katika viwanja vya Diamond Jubilee mara baada ya kufungua mkutano wa Mashauriano wa Mwaka wa AQRB,CRB,ERB pamoja na Wadau wa Sekta ya Ujenzi nchini.

 

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akikagua moja wapo ya gari linalotumika katika ujenzi wa Miondombimbu mbalimbali katika viwanja vya Diamond Jubilee mara baada ya kufungua mkutano wa Mashauriano wa Mwaka wa AQRB,CRB,ERB pamoja na Wadau wa Sekta ya Ujenzi nchini.

 

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiangalia vitasa mbalimbali vya Milango wakati alipopita kukagua mabanda katika maonesho ya Wadau wa Sekta ya Ujenzi.

 

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza jambo na Charles Kitwanga Mbunge wa Misungwi mara baada ya kukagua mabanda katika maonesho ya Wadau wa Sekta ya Ujenzi yaliyopo katika viwanja vya Diamond Jubilee jijini Dar es Salaam.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na Mchungaji Daniel Mgogo mara baada ya kufungua mkutano huo wa Mashauriano uliofanyika katika ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es Salaam.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akipiga makofi wakati Mchungaji Daniel Mgogo alipokuwa akizungumza katika mkutano huo.