Daily Archives: January 11, 2020

RAIS DKT MAGUFULI AWEKA JIWE LA MSINGI LA SHULE YA SEKONDARI MWANAKWEREKWE MJINI ZANZIBAR

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli
akiwa na Makamu wa Rais Mhe. Samia Suliuhu Hassan na viongozi wengine wakipata maelezo juu ya ujenzi wa Shule ya Sekondari ya Mwanakwerekwe mjini Zanzibar kabla ya kuweka jiwe la msingi la shule hiyo ikiwa ni mojawapo ya shamrashamra za Sherehe za miaka 56 ya Mapinduzi.

 

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa na Makamu wa Rais Mhe. Samia Suliuhu Hassan na Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolkojia wa Jamhuri ya Muungano Profesa Joyce Ndalichako na Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar Mhe. Riziki Pembe Juma akikagua ujenzi wa Shule ya Sekondari ya Mwanakwerekwe mjini Zanzibar baada ya kuweka jiwe la msingi la shule hiyo ikiwa ni mojawapo ya shamrashamra za Sherehe za miaka 56 ya Mapinduzi.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli
akiwa na Makamu wa Rais Mhe. Samia Suliuhu Hassan akimpongeza  Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali wa Zanzibar Mhe. Riziki Pembe Juma akikagua ujenzi wa Shule ya Sekondari ya Mwanakwerekwe mjini Zanzibar baada ya kuweka jiwe la msingi la shule hiyo ikiwa ni mojawapo ya shamrashamra za Sherehe za miaka 56 ya Mapinduzi.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli
akiwa na Makamu wa Rais Mhe. Samia Suliuhu Hassan na Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolkojia wa Jamhuri ya Muungano Profesa Joyce Ndalichako na Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar Mhe. Riziki Pembe Juma na Mwakilishi wa Benki ya Dunia akifunu pazia kuashiria kuweka jiwe la msingi la ujenzi wa Shule ya Sekondari ya Mwanakwerekwe mjini Zanzibar baada ya kuweka jiwe la msingi la shule hiyo ikiwa ni mojawapo ya shamrashamra za Sherehe za miaka 56 ya Mapinduzi.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli
akiwa na Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolkojia wa Jamhuri ya
Muungano Profesa Joyce Ndalichako na Waziri wa Elimu na Mafunzo ya
Amali Zanzibar Mhe. Riziki Pembe Juma wakati wa hafla ya uwekaji wa
jiwe la msingi la ujenzi wa Shule ya Sekondari ya Mwanakwerekwe mjini Zanzibar baada ya kuweka jiwe la msingi la shule hiyo ikiwa ni
mojawapo ya shamrashamra za Sherehe za miaka 56 ya Mapinduzi.

 

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe
Magufuli akiwa na Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolkojia wa Jamhuri
ya Muungano Profesa Joyce Ndalichako na Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar Mhe. Riziki Pembe Juma wakipata picha na wanafunzi wakati wa hafla ya uwekaji wa jiwe la msingi la ujenzi wa Shule ya Sekondari ya Mwanakwerekwe mjini Zanzibar baada ya kuweka jiwe la msingi la shule hiyo ikiwa ni mojawapo ya shamrashamra za Sherehe za miaka 56 ya Mapinduzi.

 

RAIS MHE.DKT. MAGUFULI AZINDUA HOTEL VERDE – AZAM LUXURY RESORT AND SPA ILIYOPO MTONI ZANZIBAR. JANUARI 11, 2020

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na Mwenyekiti wa Makampuni ya Bakhresa group Mzee Said Salim Bakhresa alipowasili kabla ya kuzindua Hotel Verde – Azam Luxury and Spa iliyopo Mtoni Zanzibar Januari 11,2020 kuelekea sherehe za Miaka 56 ya Mapinduzi ya Zanzibar itakayofanyika Januari 12, 2020 Visiwani Zanzibar. 

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akifunua kitambaa na Makamu wa Rais wa Jamhuri Mhe. Samia Suluhu Hassan, Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi, Mwenyekiti wa Makampuni ya Bakhresa group Mzee Said Salim Bakhresa pamoja na Viongozi wengine wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano na Mapinduzi kuashiria uzinduzi wa Hotel Verde – Azam Luxury and Spa iliyopo Mtoni Zanzibar Januari 11,2020 kuelekea sherehe za Miaka 56 ya Mapinduzi ya Zanzibar itakayofanyika Januari 12, 2020 Visiwani Zanzibar.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akimpongeza Mwenyekiti wa Makampuni ya Bakhresa group Mzee Said Salim Bakhresa mara baada ya kuzindua Hotel Verde ya Azam Luxury and Spa iliyopo Mtoni Zanzibar Januari 11,2020 kuelekea sherehe za Miaka 56 ya Mapinduzi ya Zanzibar itakayofanyika Januari 12, 2020 Visiwani Zanzibar.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akikata utepe na Makamu wa Rais wa Jamhuri Mhe. Samia Suluhu Hassan, Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi, Mwenyekiti wa Makampuni ya Bakhresa group Mzee Said Salim Bakhresa pamoja na Viongozi wengine wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano na Mapinduzi kuashiria uzinduzi wa Hotel Verde – Azam Luxury and Spa iliyopo Mtoni Zanzibar Januari 11,2020 kuelekea sherehe za Miaka 56 ya Mapinduzi ya Zanzibar itakayofanyika Januari 12, 2020 Visiwani Zanzibar.

 

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiwa na Makamu wa Rais wa Jamhuri Mhe. Samia Suluhu Hassan, Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi, Mwenyekiti wa Makampuni ya Bakhresa group Mzee Said Salim Bakhresa pamoja na Viongozi wengine wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano na Mapinduzi wakimsikiliza Afisa Mtendaji Mkuu wa Makampuni ya Vyakula wa Bakhresa Salim Aziz Salim huku wakitazama maeneo mbalimbali ya Hotel Verde – Azam Luxury and Spa iliyopo Mtoni Zanzibar wakati wa sherehe za uzinduzi wa hoteli hiyo Januari 11,2020 kuelekea sherehe za Miaka 56 ya Mapinduzi ya Zanzibar itakayofanyika Januari 12, 2020 Visiwani Zanzibar.

 

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akijaribu vifaa vya mazoezi alipoambatana na Viongozi wengine wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano na Mapinduzi kutazama maeneo mbalimbali ya Hotel Verde – Azam Luxury and Spa iliyopo Mtoni Zanzibar wakati wa sherehe za uzinduzi wa hoteli hiyo Januari 11,2020 kuelekea sherehe za Miaka 56 ya Mapinduzi ya Zanzibar itakayofanyika Januari 12, 2020 Visiwani Zanzibar.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiwa na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi, Mwenyekiti wa Makampuni ya Bakhresa group Mzee Said Salim Bakhresa pamoja na Afisa Mtendaji Mkuu wa Makampuni ya Vyakula wa Bakhresa Salim Aziz Salim huku alipokuwa akigagua moja ya chumba cha Hotel Verde – Azam Luxury and Spa iliyopo Mtoni Zanzibar wakati wa sherehe za uzinduzi wa hoteli hiyo Januari 11,2020 kuelekea sherehe za Miaka 56 ya Mapinduzi ya Zanzibar itakayofanyika Januari 12, 2020 Visiwani Zanzibar.

 

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiwa na Mwenyekiti wa Makampuni ya Bakhresa group Mzee Said Salim Bakhresa pamoja na Afisa Mtendaji Mkuu wa Makampuni ya Vyakula wa Bakhresa Salim Aziz Salim akigagua moja maeneo mbalimbali ya Hotel Verde – Azam Luxury and Spa iliyopo Mtoni Zanzibar wakati wa sherehe za uzinduzi wa hoteli hiyo Januari 11,2020 kuelekea sherehe za Miaka 56 ya Mapinduzi ya Zanzibar itakayofanyika Januari 12, 2020 Visiwani Zanzibar.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akicheza ngoma wakati wa hafla ya uzinduzi wa Hotel Verde – Azam Luxury and Spa iliyopo Mtoni Zanzibar Januari 11,2020 kuelekea sherehe za Miaka 56 ya Mapinduzi ya Zanzibar itakayofanyika Januari 12, 2020 Visiwani Zanzibar.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza wakati wa hafla ya uzinduzi wa Hotel Verde – Azam Luxury and Spa iliyopo Mtoni Zanzibar Januari 11,2020 kuelekea sherehe za Miaka 56 ya Mapinduzi ya Zanzibar itakayofanyika Januari 12, 2020 Visiwani Zanzibar.

Wanakikundi cha hamasa wakimshangilia Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli mara baada ya kuendesha harambee ndogo ya kuwachangia ambapo zaidi ya milioni hamsini zilichangwa kwaajili ya vijana na wasanii wa Taarabu Zanzibar wakati wa hafla ya uzinduzi wa Hotel Verde – Azam Luxury and Spa iliyopo Mtoni Zanzibar Januari 11,2020 kuelekea sherehe za Miaka 56 ya Mapinduzi ya Zanzibar itakayofanyika Januari 12, 2020 Visiwani Zanzibar.