HAFLA YA MCHAPALO (COCKTAIL PARTY) WA KUSHEREHEHEA KUAPISHWA KWA RAIS DKT JOHN POMBE JOSEPH MAGUFULI NOVEMBA 5,2015 IKULU DAR ES SALAAM


 Rais Mstaafu Jakaya Mrisho Kikwete na mkewe Mama Salma Kikwete wakiwasili kwenye viwanja vya Ikulu jijini Dar es salaam Alhamisi usiku kwa ajili ya mchapalo maalum ulioandaliwa na Rais wa awamu ya Tano Dkt John Pombe Joseph Magufuli kusherehekea kupishwa kwake

 Rais wa awamu ya Tano Dkt John Pombe Joseph Magufuli akisalimiana na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi 

 Rais wa awamu ya Tano Dkt John Pombe Joseph Magufuli akisalimiana na Rais wa Zanzibar Dkt Ali Mohamed Sheim

 Rais wa awamu ya Tano Dkt John Pombe Joseph Magufuli akisalimiana na Rais Mstaafu wa awamu ya nne Jakaya Mrisho Kikwete akifuatiwa na mkewe Mama Janet Magufuli

  Rais wa awamu ya Tano Dkt John Pombe Joseph Magufuli akisalimiana na Makamu wa Rais Mhe Samia Suluhu Hassan kifuatiwa na mkewe Mama Janet Magufuli

  Rais wa awamu ya Tano Dkt John Pombe Joseph Magufuli akisalimiana na Mama Hadija Mwinyi akifuatiwa na mkewe Mama Janet Magufuli

  Rais wa awamu ya Tano Dkt John Pombe Joseph Magufuli akisalimiana na Mama Sitti Mwinyi  akifuatiwa na mkewe Mama Janet Magufuli

  Rais wa awamu ya Tano Dkt John Pombe Joseph Magufuli akisalimiana na Mama Salma Kikwete  akifuatiwa na mkewe Mama Janet Magufuli

  Rais wa awamu ya Tano Dkt John Pombe Joseph Magufuli akisalimiana na Mama  Asha Suleiman Iddi akifuatiwa na mkewe Mama Janet Magufuli

 Rais wa awamu ya Tano Dkt John Pombe Joseph Magufuli na viongozi wengine wakiwa hema kuu

 Mama Janet Magufuli akisalimiana na Mhe Makongoro Nyerere

 Rais wa awamu ya Tano Dkt John Pombe Joseph Magufuli  akisalimiana na Mhe Makongoro Nyerere

 Makamu wa Rais Mhe Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Makongoro Nyerere

 Rais wa awamu ya Tano Dkt John Pombe Joseph Magufuli  akiongea na Rais Mstaafu Jakaya Kikwete

 Rais wa awamu ya Tano Dkt John Pombe Joseph Magufuli akienda kusalimiana na wageni wake

  Rais wa awamu ya Tano Dkt John Pombe Joseph Magufuli akisalimiana na wageni wake

 Rais Mstaafu Jakaya Kikwete akisalimiana na Mbunge wa Mtera Mteule Mhe Livingstone Lusinde

   Rais wa awamu ya Tano Dkt John Pombe Joseph Magufuli akisalimiana na wageni wake

   Rais wa awamu ya Tano Dkt John Pombe Joseph Magufuli akisalimiana na wageni wake

 

 Rais wa awamu ya Tano Dkt John Pombe Joseph Magufuli akiendelea  kusalimiana na wageni wake

 

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *