RAIS JOHN POMBE MAGUFULI AFANYA ZIARA YA KUSHTUKIZA WIZARA YA PEDHA NOVEMBA 6,2015

4-IMG_7282

Rais Dkt.John Pombe Magufuli akifanya kazi Ofisini kwake Ikulu dar es saIaam Novemba 6, 2015 ikiwa ni siku ya kwanza ofisini kwake mara baada ya kuapishwa

unnamed

Rais Dkt.John Pombe Magufuli akisaini kitabu cha wageni muda mfupi baada ya kuwasili katika makao makuu ya Wizara ya Fedha(HAZINA) kwa ziara ya kushtukiza leo mchana.Kulia ni Katibu Mkuu wa Wizara hiyo Dkt.Servacius Likwelile.Rais Magufuli alitembelea na kukagua ofisi zote wizarani hapo na kisha kuongea na viongozi waandamizi.

unnamed-3

Rais Dkt.John Pombe Magufuli akiwa na wafanyakazi wawili wa Wizara ya Fedha ambao ni walemavu Bwana Fundi Maruma na Frank Mkyama wakati Rais alipofanya ziara ya kushtukiza wizarani hapo leo

unnamed-1 

2BDHDHDHRais Dkt.John Pombe Magufuli akizungumza na viongozi waandamizi wa Wizara ya Fedha wakati alipofanya ziara ya kushtukiza Wizarani hapo ambapo alitoa maagizo ya kuziba mianya ya wakwepa kodi. Novemba 6,2015

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *