RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA NA AMIRI JESHI MKUU WA VYOMBO VYA ULINZI NA USALAMA DKT. JOHN POMBE MAGUFULI AHUDHURIA SHEREHE ZA KUAPISHWA RAIS WA AWAMU YA SABA WA SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR DKT. ALI MOHAMED SHEIN MARCHI 24,2016

 

3ed23f16-0c44-4473-b466-3e428757aa87Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na Waziri wa Nchi Afisi ya Rais Zanzibar, Dkt. Mwinyi Haji Makame mara baada ya kuwasili Kisiwani Zanzibar kwa ajili ya sherehe za kuapishwa Rais wa Zanzibar Dkt. Mohamed Ali Shein 

98c2f14d-ba98-49a1-9338-236abf688e95Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akipigiwa wimbo wa Taifa kabla ya kuapishwa kwa Rais wa awamu ya saba wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Dkt. Ali Mohamed Shein katika uwanja wa Amaan Kisiwani Zanzibar Marchi 24,

12122Gwaride maalum la Vikosi vya Ulinzi na usalama vikiimba wimbo wa Taifa kwenye uwanja wa Amaan

 

 

4cbc1584-f9ea-4af1-9e0c-d9a6da2c13ea Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwapungia mkono mamia ya wananchi wa Zanzibar mara baada ya kuwasili katika uwanja wa Amaan mjini Zanzibar.

93b33dd6-6061-4a53-8fc7-f83698639a97Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimupongeza  Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Dkt. Ali Mohamed Shein mara baada ya kuapishwa kuwa Rais wa Serikali ya mapinduzi ya Zanzibar katika uwanja wa Amaan Kisiwani Zanzibar.

18d9a0c0-f940-4fcd-b411-bfb73820ac14Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akifurahia jambo na Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Jenerali Davis Mwamunyange katika uwanja wa Amaan kisiwani Zanzibar

3474d22e-c288-4bf8-8049-6e87076866afRais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa na Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Dkt. Ali Mohamed Shein pamoja na viongozi wengine wa Serikali wakifatilia kwa makini burudani iliyokuwa ikitolewa na Bendi ya muziki ya Yamoto katika uwanja wa Amaan.

e0a07380-94be-4eba-a31a-a3993af8079eRais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa na Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Dkt. Ali Mohamed Shein pamoja na Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Tanzania Jeneral Devis Mwamunyange wakifurahia burudani iliyokuwa ikitolewa na Yamoto bendi katika uwanja wa Amaan.

ff99c854-31e9-4b13-9ebe-3d845a3d56dcRais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na Rais mstaafu wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Amani Abeid Karume katika uwanja wa Amaan Kisiwani Zanzibar

8b05e285-9445-4f7e-ac23-e2a3068a3fca Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiondoka katika uwanja wa Amaan mara baada ya kumalizika kwa sherehe za uapisho

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *