RAIS DKT. MAGUFULI AKUTANA NA BALOZI WA CHINA HAPA NCHINI DKT. LU YOUQING IKULU JIJINI DAR ES SALAAM APRIL 25,2016

111

 

222Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimsikiliza Balozi wa China hapa nchini Dkt. Lu Youqing Ikulu jijini Dar es Salaam. Balozi Dkt. Lu alifika Ikulu jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kuzungumza masuala mbalimbali ya kimaendeleo na Rais Dkt. Magufuli.

3333Balozi wa China hapa nchini Dkt. Lu Youqing akimkabidhi Rais Dkt. John Pombe Magufuli ujumbe wa barua ya kumpongeza kwa kuchaguliwa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kutoka kwa Rais wa China Xi Jinping Ikulu jijini Dar es Salaam

5Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiagana na Balozi wa China hapa nchini Dkt. Lu Youqing mara baada ya kumaliza mazungumzo yao Ikulu jijini Dar es Salaam

4Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa katika picha na Balozi wa China hapa nchini Dkt. Lu Youqing wanne kutoka kushoto, Waziri wa Ujenzi Profesa Makame Mbarawa wapili kutoka kulia pamoja na maafisa wengine kutoka nchini na Ubalozi wa China.

 

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *