RAIS DKT. JOHN POMBE MAGUFULI AWASILI MKOANI DODOMA APRIL 28,2016 KWA SHUGHULI ZA KIKAZI

9a42fb4e-1b27-4546-925b-66c32b9a04a7Msafara wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli ukielekea Dodoma kutokea mjini Dar es Salaam

050cb820-c280-4e39-a5ad-aefbd0d463c8

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwasili katika Ikulu ya Chamwino Mkoani Dodoma wakati akitokea mjini Dar es Salaam. Kulia ni Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Jordan Rugimbana.

1bnbf,nbf,nRais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Charles Kitwanga mara baada ya kuwasili katika Ikulu ya Chamwino mkoani Dodoma kulia ni Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Jordan Rugimbana April 28,2016

 

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *