RAIS KIKWETE ATEMBELEA WILAYA YA CHAMWINO KATIKA ZIARA YAKE YA MKOA WA DODOMA AUGOSTI 30,2014

1

 Rais Kikwete akisalimiana na Mbunge wa Mtera Mhe Livingstone Lusinde “Kibajaji”

2

 Rais Kikwete akisalimiana na viongozi mbalimbali wilayani humo6

 Ujumbe toka kwa wanafunzi wa shule ya msingi ya Msanga5

 Ujumbe toka kwa wanafunzi wa shule ya msingi ya Msanga7

 

8

 Rais Kiwkete akiwapongeza wacheza ngoma wa Shule ya Msingi ya Msanga11

 Mkuu wa wilaya ya Chamwino Mhe Fatma S. Ally akitoa taarifa ya Wilaya12  Watendaji wa Wilaya ya Chamwino wakiwa katika kikao na Rais Kikwete 13

 Rais Kikwete akitoa ushauri na maagizo kuhusu utekelezaji wa miradi mbalimbali14

 Watendaji wa Wilaya wakisikiliza kwa makini15

 Mwalimu Silvanus Hosea wa shule ya Bwigiri ambaye ni mwalimu mwenye ulemavu wa macho akitoa maoni yake16

 Mwakilishi wa shirika la kimataifa la Mpango wa Chakula Duniani (WFP) akifafanua juu ya mradi wa chakula kwa wanafunzi mashuleni17

 Rais Kikwete akitoa ushauri wa njia bora za kuendeleza mradi wa chakula kwa wanafunzi mashuleni18  Vijana waliomaliza elimu ya juu na kuamua kujishuhghulisha na mradi wa kilimo wilayani Chamwino wakitambulishwa. Rais Kikwete ameahidi kuwapatia trekta ili kuongeza tija19

 Mmoja wa wataalamu wa miradi akitambulishwa 20

 Rais Kikwete akisalimiana na Mwalimu Silvanus Hosea wa shule ya Bwigiri21

 Rais Kikwete akisalimiana na wahandisi wa mradi wa ujenzi wa ofisi za halmashauri ya Wilaya ya Chamwino22

 Sehemu ya mradi wa ujenzi wa ofisi za halmashuari ya wilaya ya Chwamwino23

 Kikundi cha utamaduni cha kinamama kikitumbuiza katika sherehe za uwekaji wa jiwwe la msingi katika mradi wa ujenzi wa ofisi za halmashauri ya wilaya ya Chamwino24

 Wananchi wakifurahia katika sherehe za uwekaji wa jiwwe la msingi katika mradi wa ujenzi wa ofisi za halmashauri ya wilaya ya Chamwino25

 Mkuu wa wilaya ya Chamwino Mhe Fatma S. Ally akimkaribisha Rais Kikwete na ujumbe wake26

 Katibu tawala wa Wilaya ya Chamwino akitoa muhtasari wa mradi wa ujenzi wa jengo la halmashauri ya wilaya hiyo27

 Mbunge wa jimbo la Chamwino Mh. Chibulunje akizungumza katika sherehe hizo ambapo alitangaza nia ya kutogombea tena nafasi hiyo katika uchaguzi mkuu ujao mwakani28

 Rais Kikwete akimpongeza Mbunge wa Chamwino Mhe Chibuluje kwa kutangaza hadharani nia yake ya kutogombea tena nafasi hiyo 29

 Rais Kikwete akizungumza na wananchi30  Rais Kikwete na Mbunge wa jimbo la Chamwino Mhe Chibuluje wakifunua kitambaa kama ishara ya kuweka jiwe la msingi la mradi wa ujenzi wa ofisi za halmashauri ya wilaya ya Chamwino31

 Vifijo mara baada ya kuweka jiwe la msingi la mradi wa ujenzi wa ofisi za halmashauri ya wilaya ya Chamwino32

 Rais Kikwete akipata maelezo ya  mradi wa ujenzi wa ofisi za halmashauri ya wilaya ya Chamwino33

jiwe la msingi la mradi34

 Rais Kikwete akilakiwa na walimu wa Shule ya Sekondari ya Dkt Malecela alipowasili ili kuzindua  maabara ya masomo ya sayansi35

 Rais Kikwete akikaribishwa kwa ngoma  Shule ya Sekondari ya Dkt Malecela alipowasili ili kuzindua  maabara ya masomo ya sayansi36

 Mbunge wa Mtera Mhe Livingstone Lusinde Kibajaji akiongea machache wakati wa sherehe za uzinduzi wa maabara  ya Shule ya Sekondari ya Dkt Malecela 37

 Rais Kikwete akizungumza na wananchi wakati wa sherehe za uzinduzi wa maabara  ya Shule ya Sekondari ya Dkt Malecela38

 Rais Kikwete akizindua maabara  ya Shule ya Sekondari ya Dkt Malecela40

 Rais Kikwete akikata utepe kuzindua maabara  ya Shule ya Sekondari ya Dkt Malecela41

 Rais Kikwete akiangala wanafunzi wakiwa mafunzoni baada ya kuzindua  maabara  ya Shule ya Sekondari ya Dkt Malecela42

 Rais Kikwete akiangala wanafunzi wakiwa mafunzoni baada ya kuzindua  maabara  ya Shule ya Sekondari ya Dkt Malecela43

 Wanafunzi wakiwa mafunzoni baada ya Rais Kikwete  kuzindua  maabara  ya Shule ya Sekondari ya Dkt Malecela44

 Rais Kikwete akipata picha ya kumbukumbu na walimu  baada ya kuzindua  maabara  ya Shule ya Sekondari ya Dkt Malecela45

 Rais Kikwete akiwasili katika Shule ya Sekondari ya Mvumi Mission46

 Rais Kikwete akiongea na wanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Mvumi Mission47

 Rais Kikwete akiwapa somo wanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Mvumi Mission48

 Rais Kikwete katika picha na walimu na viongozi wa wanafunzi  Shule ya Sekondari ya Mvumi Mission49

 Rais Kikwete akiongea na wananchi baada ya kuwasili mvumi kuzindua mradi wa maji50

 Rais Kikwete akiongea na Mbunge wa Mtera Mhe Livingtsone Lusinde51

  Rais Kikwete  na Mbunge wa Mtera Mhe Livingtsone Lusinde wakizindua mradi wa maji wa Mvumi52

 Rais Kikwete akimtwisha ndoo mmoja wa wakinama baada ya kuzindua mradi wa maji wa Mvumi53

 Rais akilakiwa na umati wa watu alipowasili uwanja wa Mvumi kwa mkutano wa hadhara54

 Rais Kikwete akipokea zawadi ya mkuki na fimbo 56

 Rais Kikwete akimshukuru Mzee Manyweke kwa zawadi58

 Zawadi zaidi toka kwa wazee mashuhuri wa Mvumi59

 Rais kikwete akipata picha ya pamoja na wazee mashuhuri wa Mvumi 60

 Rais Kikwete akipewa zawadi ya mbuzi kutoka kwa vijana wa stendi ya basi ya Mvumi61

 Ngoma ya utamaduni62

 Mbunge wa Mtera Mhe Livingstone Lusinde akiongea na wananchi63

 Rais Kikwete akimpongeza Mbunge wa Mtera Mhe Livingstone Lusinde 64

 Rais Kikwete akihutubia wananchi65

 Umati wa wananchi wakimsikiliza Rais Kikwete67

 Rais Kikwete akipongezwa na Mkuu wa Wilaya ya Chamwino66

 Rais Kikwete akipeana mikono na Mbunge wa Mtera Mhe Livingstone Lusinde

68

 Rais Kikwete akipeana mikono na Mhe Chibuluje69

Rais Kikwete akiagana na wananchi wa Mvumi.

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *