Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Joseph Magufuli akihutubia maelfu ya wananchi wa mkoa wa Mwanza na maeneo ya kanda ya ziwa katika mkutano wa hadhara katika uwanja wa Furahisha eneo la Kirumba jijini Mwanza Agosti 11,2016
maelfu ya wananchi wa mkoa wa Mwanza wakisikiliza hotuba ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Joseph Magufuli akihutubia katika mkutano wa hadhara katika uwanja wa Furahisha eneo la Kirumba jijini Mwanza Agosti 11,2016
Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania Dkt. John pombe magufuli akikata utepe kuweka jiwe kama ishara ya kuweka jiwe la msingi ujenzi wa daraja la waenda kwa miguu la furahisha jijini mwanza wengine katika picha ni viongozi wa wizara ya Ujenzi na wa Mkoa wa Mwanza Agosti 11,2016
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa na Mkewe Mama Janeth Magufuli pamoja na Naibu Waziri wa Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Mhandisi Edwin Ngonyani, Mbunge wa Sumve Richard Ndassa wakipiga makofi mara baada ya tukio la uwekaji wa Jiwe la Msingi la Ujenzi wa Daraja la waenda kwa miguu la Furahisha pamoja na Upanuzi wa barabara ya Mwanza-airport.
Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Barabara nchini (TANROADS), Eng. Patrick Mfugale akitoa maelezo kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli kuhusu ujenzi wa daraja la waenda kwa miguu litakalojengwa furahisha mjini mwanza kabla ya Rais kuweka jiwe la msingi la ujenzi wa Daraja hilo