RAIS DKT JOHN POMBE MAGUFULI APOKEA HATI ZA UTAMBULISHO KUTOKA KWA MABALOZI WA CANADA, THAILAND NA AUSTRIA IKULU DAR ES SALAAM AGOSTI 24,2016

1 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli akipokea hati ya utambulisho toka kwa Balozi wa Canada Mhe Ian Myles Ikulu jijini Dar es salaam agosti 24, 2016

2

 

3 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli katika mazungumzo baada ya kupokea hati ya utambulisho toka kwa Balozi wa Canada Mhe Ian Myles Ikulu jijini Dar es salaam  agosti 24, 2016

4 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli akipokea hati ya utambulisho toka kwa Balozi wa Thailand hapa nchini Mhe. Prasottiporn Wetpraisait Ikulu jijini Dar es salaam agosti 24, 2016

5 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli  katika mazungumzo baada ya kupokea hati ya utambulisho toka kwa Balozi wa Thailand hapa nchini Mhe. Prasottiporn Wetpraisait Ikulu jijini Dar es salaam agosti 24, 2016

6 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli akipokea hati ya utambulisho toka kwa Balozi wa  Austria  hapa nchini Mhe. Harald Gunther Ikulu jijini Dar es salaam  agosti 24, 2016

7Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli  katika mazungumzo baada ya kupokea hati ya utambulisho toka kwa Balozi wa  Austria  hapa nchini Mhe. Harald Gunther Ikulu jijini Dar es salaam  agosti 24, 2016

 

 

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *