Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli akimkaribisha na kufanya  mazungumzo na balozi wa Cuba nchini Mhe Jorge Lopez Tormo Ikulu jijini Dar es salaam Agosti 30,2016
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli akisalimiana na kumkaribisha balozi wa India nchini Mhe.Sandeep Arya aliyekutana naye na kufanya mazungumzo Ikulu jijini Dar es salaam Agosti 30, 2016