RAIS DKT.JOHN POMBE MAGUFULI AENDESHA MKUTANO WA 17 WA DHARURA WA WAKUU WA NCHI ZA JUMUIYA YA AFRIKA MASHARIKI IKULU JIJINI DAR ES SALAAM SEPTEMBA 8,2016

1 Mwenyekiti wa Jumuiya ya Afrika Mashariki Rais Dkt John Pombe Magufuli na viongozi wenzie  wakisimama wakati wimbo wa Jumuiya ukipigwa wakati wa ufunguzi wa Mkutano wa 17 wa Dharula wa wakuu wa Nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki katika ukumbi wa mikutano wa Ikulu jijini Dar es salaam Septemba 8, 2016

2Mwenyekiti wa Jumuiya ya Afrika Mashariki Rais Dkt John Pombe Magufuli akiongea Mkutano wa 17 wa Dharula wa wakuu wa Nchi za Jumuiya hiyo  katika ukumbi wa mikutano wa Ikulu jijini Dar es salaam Septemba 8, 2016

3

 

DSC_9440

 

IMGS0796Mwenyekiti wa Jumuiya ya Afrika Mashariki Rais Dkt John Pombe Magufuli akihutubia Mkutano wa 17 wa Dharula wa wakuu wa Nchi za Jumuiya hiyo  katika ukumbi wa mikutano wa Ikulu jijini Dar es salaam Septemba 8, 2016

IMGS0821 Waziri Mkuu Mstafu Jaji Joseph Sinde Warioba (kati) na Katibu Mkuu Mstaafu wa Jumuiya ya Afrika Mashariki Balozi Juma Mwapachu (kushoto) wakiwa na viongozi wastaafu wa Jumuiya

1..

 

3

 

2Mwenyekiti wa Jumuiya ya Afrika Mashariki Rais Dkt John Pombe Magufuli katika picha ya pamoja na viongozi mbalimbali wa jumuiya hiyo waliohudhuria Mkutano wa 17 wa Dharula wa wakuu wa Nchi za Jumuiya hiyo  katika ukumbi wa mikutano wa Ikulu jijini Dar es salaam Septemba 8, 2016  

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *