Rais Jakaya Mrisho Kikwete akizungumza na Wajumbe wa Kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD) wakati alipokutana nao Ikulu ndogo mjini Dodoma leo Septemba 08,2014.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwa na ujumbe wa Kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD) baada ya kumalizika kwa awamu ya pili ya mazungumzo nao Ikulu Ndogo mjini Dodoma Septemba 08,2014.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwa na ujumbe wa Kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD) baada ya kumalizika kwa awamu ya pili ya mazungumzo nao Ikulu Ndogo mjini Dodoma leo Septemba 08,2014.