RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA DKT. JOHN POMBE MAGUFULI AKIMWAPISHA KAMISHNA DIWAN ATHUMANI KUWA KATIBU TAWALA WA MKOA WA KAGERA, IKULU JIJINI DAR ES SALAAM NOVEMBA 22,2016

1bbmb,jnb Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimwapisha kamishna Diwan Athumani kuwa Katibu Tawala wa Mkoa wa Kagera, Ikulu jijini Dar es salaam Novemba 22,2016

2HBJJHHH Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli katika picha ya pamoja na viongozi mbalimbali wa serikali mara baada ya kumwapisha kamishna Diwan Athumani kuwa Katibu Tawala wa Mkoa wa Kagera, Ikulu jijini Dar es salaam Novemba 22,2016

3BJBJBRais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli  akiteta jambo na kuagana na kamishna Diwan Athumani mara baada ya kumwapisha kuwa Katibu Tawala wa Mkoa wa Kagera, Ikulu jijini Dar es salaam Novemba 22,2016

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *