Amir jeshi mkuu Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimvua cheo cha Kamishna wa Polisi Simon Sirro na kumvalisha cheo cha Kamishna Generali wa Jeshi la polisi nchini Mei 29,2017 Ikulu jijini Dar es salaam
Amir jeshi mkuu Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimuapisha Mkuu wa Jeshi la Polisi Mteule, Kamishna wa Polisi Simon Sirro kuwa Kamishna Generali wa Jeshi la Polisi Nchini Mei 29,2017 Ikulu jijini Dar es salaam
Amir jeshi Mkuu Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimpongeza Kamshina Jenerali wa Polisi nchini Simon Sirro mara baada ya kumuapisha Mei 29,2017 Ikulu jijini Dar es salaam
Kamshina Jenerali wa Polisi nchini Simon Sirro akila kiapo cha maadili ya utumishi wa Umma mara baada ya kumuapisha na Rais Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli kuwa Kamshina Jenerali wa Polisi nchini Mei 29,2017 Ikulu jijini Dar es salaam
Kamshina Jenerali wa Polisi nchini Simon Sirro akisaini hati ya kiapo cha maadili ya utumishi wa Umma mara baada ya kuapishwa
Kamshina Jenerali wa Polisi nchini Simon Sirro mara baada ya kupandishwa cheo
Kamshina Simon Sirro kabla ya kupandishwa cheo kuwa Kamshina Jenerali wa Polisi nchini
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Hassan Suluhu akimpongeza Mkuu wa Jeshi la Polisi Mteule, Kamishna Jenerali wa Jeshi la polisi nchini Simon Sirro mara baada ya kuapishwa Mei 29,2017 Ikulu jijini Dar es salaam
Amir jeshi mkuu Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli, Makamu wa Rais Mhe. Samia Hassani Suluhu, Waziri wa mambo ya ndani Mwigulu Nchema,Kaimu Jaji Mkuu wa Tanzania Mhe. Jaji Prof. Ibrahim Hamis Juma, Mkuu wa Jeshi la Polisi Mteule Simon Sirro, aliyekuwa Mkuu wa Jeshi la Polisi Erenest Mango, katibu Mkuu kiongozi Balozi John Kijazi, pamoja na Mkambishna mbalimbali wa Wizara ya mambo ya ndani katika picha ya pamoja
Amir jeshi mkuu Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli katika picha ya pamoja na Mkuu wa Jeshi la Polisi Mteule Simon Sirro na aliyekuwa Mkuu wa jeshi la polisi Erenest Mango
Amir jeshi mkuu Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli katika akisalimiana na aliyekuwa Mkuu wa jeshi la polisi Erenest Mango
Amir jeshi mkuu Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akisalimia na makamanda mbalimbali wa polisi na Jeshi la wananchi wa tanzania mara baada ya kumuapisha Mkuu wa Jeshi la Polisi Mteule Simon Sirro Ikulu jijini Dar es salaam
Rais Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiongea jambo na waziri wa mambo ya ndani ya Nchi Mwigulu Nchemba mara baada ya kumuapisha Mkuu wa Jeshi la Polisi Mteule Simon Sirro Ikulu jijini Dar es salaam