RAIS KIKWETE AONGOZA MAZISHI YA MEJA JENERALI MSTAAFU MUHIDDIN MFAUME KIMARIO MJINI MOSHI OKTOBA 11, 2014

1 Maafisa waandamizi wa Jeshi la Wananchi la Tanzania  wakiwa
wamebeba Jeneza lililobeba mwili wa Marehemu Meja Jenerali mstaafu
Muhiddin Mfaume Kimario wakiwasili katika makaburi ya Manispaa ya
Moshi Mkoani Kilimanjaro Oktoba 11, 2014

2: Rais kikwete akiwa na Jenerali Mstaafu Mirisho Sarakikya (kushoto
kwa Rais) na Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro Dkt Ibrahim Msengi
(kulia) na Meja Jenerali  Ezekiel  Kyunga, mwakilishi wa Mkuu wa
Majeshi Jenerali Davis Mwamunyange (kulia kwa Rais) wakati mwili wa
marehemu Meja Jenerali Mstaafu Muhiddin Mfaume Kimario ukiwasili
katika makaburi ya Manispaa ya Moshi Mkoani Kilimanjaro Jumamosi
Oktoba 11, 2014

3

 

4 Waombolezaji wakiwa wamebeba Jeneza lenye mwili wa Marehemu
Meja Jenerali mstaafu wa jeshi la wananchi Tanzania (JWTZ) Marehemu
Muhiddini Kimario katika  makaburi ya manispaa ya Moshi mkoani
Kilimanjaro kwa mazishi Oktoka 11, 2014. 

5 Rais Jakaya  Mrisho Kikwete akiweka udongo katika kaburi la
Meja Jenerali Mstaafu Muhiddin Mfaume Kimario wakati wa mazishi katika
makaburi ya Manispaa ya Moshi Mkoani Kilimanjaro Oktoba 11,
2014 

6 Rais Kikwete akimfariji mjane wa marehemu alipokwenda kutoa pole
baada ya mazishi

7

 

 

8 Rais Kikwete akiwafariji familia  wa marehemu alipokwenda
kutoa pole baada ya mazishi

9Rais Kikwete akiweka sahihi kwenye kitabu cha maombolezo nyumbani
kwa marehemu Meja Jenerali Mstaafu Muhiddin Mfaume Kimario mjini Moshi
Jumamosi Oktoka 11, 2014.

 

 

 


Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *