RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA DKT JOHN POMBE MAGUFULI AHUTUBIA WANANCHI WA MOROGORO STEND MSAVU NA TEGETA KWA NDEVU AKIWA NJIANI KUELEKEA JIJINI DAR -ES SALAAM AKITOKEA MKOANI DODOMA JULAI 27,2017

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Joseph Magufuli Akihutubia Wananchi wa eneo la Stendi ya Mabasi Msamvu Mkoani Morogoro waliokuwa wamejitokeza kumsalimia akitokea Mkoani Dodoma. Julai 27,2917

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Joseph Magufuli Akimsikiliza Bi Maria Gabrieli aliyemweleza Mh Rais Juuu ya kero za wafanyabiasahara ndogondogo wa Stendi ya Mabasi Msamvu Mkoani Morogoro kero za kunyanyaswa na Mugambo. Julai 27,2917.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Joseph Magufuli Akimsikiliza Bi Halima Alli aliyemweleza Mh Rais Juuu ya kero za wafanyabiasahara ndogondogo wa Stendi ya Mabasi Msamvu Mkoani Morogoro Julai 27,2917

Wananchi wa eneo la Tegeta kwa Ndevu Jijini Dar es Salaam wakifurahia baada ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Joseph Magufuli,  aliposimamama kuwasalimia akiwa njini akitokea Mkoani Dodoma baada ya Ziara yake ya Mikoa ya Kagera,Kigoma,Tabora na Singida Julai 27,2917.

 

 

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Joseph Magufuli, Akihutubia na Kusalimiana na Wananchi wa eneo la Tegeta kwa Ndevu Jijini Dar es Salaam,akiwa njini akitokea Mkoani Dodoma mara baada ya Ziara za Mikoa ya Kagera,Kigoma,Tabora na Singida Julai 27,2917.

 

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Joseph Magufuli, Akihutubia na Kusalimiana na Wananchi wa eneo la Tegeta kwa Ndevu Jijini Dar es Salaam,akiwa njini akitokea Mkoani Dodoma mara baada ya Ziara za Mikoa ya Kagera,Kigoma,Tabora na Singida Julai 27,2917.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *