RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA MHE. DKT. JOHN POMBE MAGUFULI PAMOJA NA RAIS WA UGANDA MHE.YOWERI KAGUTA MUSEVENI WAFUNGUA KITUO CHA PAMOJA CHA HUDUMA ZA MPAKANI KWA UPANDE WA TANZANIA NA UGANDA NA KUHUTUBIA WANANCHI WA KYOTELA NCHINI UGANDA NOVEMBA 9,2017

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli akipokea salamu ya heshima kutoka kwa wanajeshi wa Uganda na mizinga 21,kulia ni Rais wa Uganda Mhe.Yoweri Kaguta Museveni wakati wa ziara ya kiserikali ya siku tatu nchini humo Novemba 9,2017

 

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli akikagua gwaride maalumu kutoka kwa wanajeshi wa Uganda wakati wa ziara ya kiserikali ya siku tatu nchini humo Novemba 9,2017

Mawaziri wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wakiongozwa na Balozi Dkt.Agustine Mahiga waziri wa mambo ya nje na Ushirikiano wa Afrika Mshariki (wakwanza kushoto),Profesa Makame Mbalawa Waziri wa Ujenzi,Mawasiliano na Uchukuzi(wapili kutoka kushoto),Profesa Palamagamba John Mwaluko Kabudi Waziri wa katiba na sheria(watatu kutoka kushoto)pamoja na Mhe.Omary Ali Mzee waziri kutoka Zanzibar(wakwanza kulia)Wakisubiri kutambulishwa kwa Rais wa Uganda Mhe.Yoeri kaguta Mseveni katiaka mpaka wa Mtukula  wakatia wa ziara ya Mhe.Dkt.John Pombe Magufuli Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Uganda Novemba 9,2017.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli akimtambulisha  Profesa Makame Mbalawa kwa Rais wa Uganda Mhe.Yoweri Kaguta Museveni wakati wa ziara ya kiserikali ya siku tatu nchini humo Novemba 9,2017

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli pamoja na Rais wa Uganda Mhe.Yoweri Kaguta Museveni wakifungua Kituo cha pamoja cha huduma za mpakani kwa upande wa Tanzania na Uganda Novemba 9,2017

Baadhia ya wananchi waliojitokeza kushuhudia Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli pamoja na Rais wa Uganda Mhe.Yoweri Kaguta Museveni wakifungua Kituo cha pamoja cha huduma za mpakani kwa upande wa Tanzania na Uganda Novemba 9,2017

Rais wa Uganda Mhe.Yoweri Kaguta Museveni akihutubia Wananchi wa Mtukula mara baada ya kufungua Kituo cha pamoja cha huduma za mpakani kwa upande wa Tanzania na Uganda Novemba 9,2017

Rais wa Uganda Mhe.Yoweri Kaguta Museveni akisalimiana na Constacia Buhiye mwenyekiti wa CCM mkoa wa Kagera wakati wa ufunguzi wa Kituo cha pamoja cha huduma za mpakani Mtukula kwa upande wa Tanzania na Uganda Novemba 9,2017.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli pamoja na Rais wa Uganda Mhe.Yoweri Kaguta Museveni wakifungua Kituo cha pamoja cha huduma za mpakani kwa upande wa Uganda na Tanzania Novemba 9,2017.

Mke wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mama Janet Magufuli akisaini kitabu cha wageni kwa upande wa Uganda,pembeni kulia ni mke wa Rais wa Uganda Mama Janeti Museveni mara baada ya Marais wa pande zote mbili kufungua Kituo cha pamoja cha huduma za mpakani mwa Tanzania na Uganda Novemba 9,2017.

 

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli pamoja na Rais wa Uganda Mhe.Yoweri Kaguta Museveni wakiwa katika picha ya pamoja na watoto wa shule wa Kyotera Uganda Novemba 9,2017.

Mawaziri wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ,Profesa Makame Mbalawa Waziri wa Ujenzi,Mawasiliano na Uchukuzi(wakwanza kushoto),Waziri wa Viwanda na Biashara Charles Mwijage ,Profesa Palamagamba John Mwaluko Kabudi Waziri wa katiba na sheria(watatu kutoka kushoto)pamoja na Mhe.Omary Ali Mzee waziri kutoka Zanzibar(wakwanza kulia) na Wazir wa Nishati Dkt.Mernad Kalemani  Wakisikiliza  hotuba ya Rais wa Uganda Mhe.Yoeri kaguta Mseveni katika ziara ya Mhe.Dkt.John Pombe Magufuli Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kyotela- Uganda Novemba 9,2017.

 

Wananchi wa Tanzania wanaoishi Uganda waliojitokeza katika mkutano wa hadhara wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli pamoja na Rais wa Uganda Mhe.Yoweri Kaguta Museveni katika eneo la Kyotera Uganda Novemba 9,2017.

 

Wananchi wa Tanzania wanaoishi Uganda waliojitokeza katika mkutano wa hadhara wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli pamoja na Rais wa Uganda Mhe.Yoweri Kaguta Museveni katika eneo la Kyotera Uganda Novemba 9,2017.

 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na Wananchi wa Tanzania wanaoishi Uganda waliojitokeza katika mkutano wa hadhara  pamoja na Rais wa Uganda Mhe.Yoweri Kaguta Museveni katika eneo la Kyotela Uganda Novemba 9,2017.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli akikabidhiwa zawadi ya ngoma na mwenyeji wake Rais wa Uganda Mhe.Yoweri Kaguta Museveni katika mkutano wa hadhara uliofanyika Kyotela -Uganda Novemba 9,2017.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli akicheza ngoma ya kiganda katika dhifa ya Kitaifa iliyoandaliwa na mwenyeji wake Rais wa Uganda Mhe.Yoweri Kaguta Museveni Masaka Uganda Novemba 9,2017

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *