RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO MHE,DKT JOHN POMBE MAGUFULI ATOA POLE KWA MHE.KANGI LUGOLA NAIBU WAZIRI OFISI YA MAKAMU WA RAIS,MUUNGANO NA MAZINGIRA KWA KUFIWA NA MKEWE KAMISHINA MSAIDIZI WA POLISI MARY LUGOLA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akitia saini kitabu cha maombelezo nyumbani Gerezani Railway club kwa Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira Mhe,Alphaxard Lugola aliyefiwa na mkewe Kamishina msaidizi wa Polisi Mary Lugola Jijini Dar es Salaam.Januari 2,2018.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira Mhe,Alphaxard Lugola alipoenda kumpa pole ya kufiwa na mkewe Kamishina msaidizi wa Polisi Mary Lugola Jijini Dar es Salaam.Januari 2,2018.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiagana na Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira Mhe,Alphaxard Lugola alipoenda kumpa pole ya kufiwa na mkewe Kamishina msaidizi wa Polisi Mary Lugola Jijini Dar es Salaam.Januari 2,2018.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *