RAIS DKT.JOHN POMBE MAGUFULI AZINDUA RASMI UKUTA WA KUZUNGUKA MGODI WA MADINI YA TANZANITE YALIYOPO MIRERANI -SIMANJIRO MKOANI MANYARA.APRILI 6,2018.

 

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akimsikiliza Kanali Mbugi alipokuwa akitoa malezo ya mradi wa Ujenzi wa ukuta uliojengwa na Jeshi la Wananchi wa Tanzania JWTZ  kabla ya kufungua rasmi ukuta huo katika eneo la Mgodi wa Madini ya Tanzanite ulipo Mirerani-Simanjiro  mkoani Manyara.Aprili 6,2018.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Jenerali Venance Mabeyo mara baada ya kupewa malezo ya mradi wa Ujenzi wa ukuta uliojengwa na Jeshi la Wananchi wa Tanzania JWTZ  kabla ya kufungua rasmi ukuta huo katika eneo la Mgodi wa Madini ya Tanzanite ulipo Mirerani-Simanjiro  mkoani Manyara.Aprili 6,2018.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiweka sahihi kwenye kitabu cha wageni mara baada ya kuwasili katika sherehe ya ufunguzi rasmi wa ukuta katika eneo la Mgodi wa Madini ya Tanzanite ulipo Mirerani-Simanjiro  mkoani Manyara.Aprili 6,2018.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akipiga makofi katika sherehe ya ufunguzi rasmi wa ukuta katika eneo la Mgodi wa Madini ya Tanzanite ulipo Mirerani-Simanjiro  mkoani Manyara.Aprili 6,2018.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akipokea mfano wa funguo kutoka kwa Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa Dkt. Husssein Mwinyi wakati wa sherehe za kuzindua rasmi  ukuta kuzunguka migodi ya Tanzanite eno la Mirelani wilaya ya Simanjiro mkoa wa Manyara .Aprili 6, 2018

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa na hati ya kukabidhiwa ukuta aliyopokea toka kwa Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa Dkt. Husssein Mwinyi wakati wa sherehe za kuzindua rasmi  ukuta kuzunguka migodi ya Tanzanite eno la Mirelani wilaya ya Simanjiro mkoa wa Manyara.Aprili 6, 2018.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akionyesha barua ya kumtambua muasisi na mgunduzi wa madini ya Tanzanite Mzee Jumanne Ngoma  katika sherehe ya ufunguzi rasmi wa ukuta katika eneo la Mgodi wa Madini ya Tanzanite ulipo Mirerani-Simanjiro  mkoani Manyara.Aprili 6,2018. 

 

Mzee aliyegundua madini ya Tanzanite Mzee Jumanne Ngoma  akielekea kupeana mkono  na Rais wa Jamhuri Mhe.Dkt John POmbe Magufuli katika sherehe ya ufunguzi rasmi wa ukuta katika eneo la Mgodi wa Madini ya Tanzanite ulipo Mirerani-Simanjiro  mkoani Manyara.Aprili 6,2018. 

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiongea na Mzee aliyegundua madini ya Tanzanite Mzee Jumanne Ngoma  katika sherehe ya ufunguzi rasmi wa ukuta katika eneo la Mgodi wa Madini ya Tanzanite ulipo Mirerani-Simanjiro  mkoani Manyara.Aprili 6,2018. 

 

Mzee aliyegundua madini ya Tanzanite Mzee Jumanne Ngoma  akiwa na watoto wake mara baada ya kuitwa  na Rais wa Jamhuri ya Muungano Mhe.Dkt John POmbe Magufuli katika sherehe ya ufunguzi rasmi wa ukuta katika eneo la Mgodi wa Madini ya Tanzanite ulipo Mirerani-Simanjiro  mkoani Manyara.Aprili 6,2018. 

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akihutubia wakati wa sherehe ya ufunguzi rasmi wa ukuta katika eneo la Mgodi wa Madini ya Tanzanite ulipo Mirerani-Simanjiro  mkoani Manyara.Aprili 6,2018. 

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akikabidhi Gari la kubebea wagonjwa kwa Uongozi wa Wilaya ya Simanjiro wakati wa sherehe ya ufunguzi rasmi wa ukuta katika eneo la Mgodi wa Madini ya Tanzanite ulipo Mirerani-Simanjiro  mkoani Manyara.Aprili 6,2018. 

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akipunga mkono  mara baada ya kukabidhi Gari la kubebea wagonjwa kwa Uongozi wa Wilaya ya Simanjiro wakati wa sherehe ya ufunguzi rasmi wa ukuta katika eneo la Mgodi wa Madini ya Tanzanite ulipo Mirerani-Simanjiro  mkoani Manyara.Aprili 6,2018. 

 

 

Mzee aliyegundua madini ya Tanzanite Mzee Jumanne Ngoma  akizungumza mara baada ya kuitwa  na Rais wa Jamhuri ya Muungano Mhe.Dkt John POmbe Magufuli katika sherehe ya ufunguzi rasmi wa ukuta katika eneo la Mgodi wa Madini ya Tanzanite ulipo Mirerani-Simanjiro  mkoani Manyara.Aprili 6,2018. 

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akimpa tuzo Mkuu wa JKT mstaafu Meja Jenerali Isamuyo  kwa kazi nzuri wakati wa sherehe ya ufunguzi rasmi wa ukuta katika eneo la Mgodi wa Madini ya Tanzanite ulipo Mirerani-Simanjiro  mkoani Manyara.Aprili 6,2018. 

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akimpa tuzo Mwakilishi wa Vijana wa Kujitolea wa JKT kwa kazi nzuri Waliyoifanya ya ujenzi wa ukuta wakati wa sherehe ya ufunguzi rasmi wa ukuta katika eneo la Mgodi wa Madini ya Tanzanite ulipo Mirerani-Simanjiro  mkoani Manyara.Aprili 6,2018. 

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akimpa kitambulisho cha Taifa Mmoja wa wakazi wa Mirerani wakati wa sherehe ya ufunguzi rasmi wa ukuta katika eneo la Mgodi wa Madini ya Tanzanite ulipo Mirerani-Simanjiro  mkoani Manyara.Aprili 6,2018. 

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akivuta kitambaa kuashia  ufunguzi rasmi wa ukuta katika eneo la Mgodi wa Madini ya Tanzanite ulipo Mirerani-Simanjiro  mkoani Manyara.Aprili 6,2018. 

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akikata utepe kuashiria ufunguzi rasmi wa ukuta katika eneo la Mgodi wa Madini ya Tanzanite ulipo Mirerani-Simanjiro  mkoani Manyara.Aprili 6,2018. 

 

 

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akikagua mabanda ya maonyesho ya  shughuli mbalimbali zinazohusu Madini mara baada ya ufunguzi rasmi wa ukuta katika eneo la Mgodi wa Madini ya Tanzanite ulipo Mirerani-Simanjiro  mkoani Manyara.Aprili 6,2018. 

 

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akikagua mabanda ya maonyesho ya  shughuli mbalimbali zinazohusu Madini mara baada ya ufunguzi rasmi wa ukuta katika eneo la Mgodi wa Madini ya Tanzanite ulipo Mirerani-Simanjiro  mkoani Manyara.Aprili 6,2018. 

 

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akitazama Madini ya Tanzanite katika moja ya banda la maonyesho mara baada ya ufunguzi rasmi wa ukuta katika eneo la Mgodi wa Madini ya Tanzanite ulipo Mirerani-Simanjiro  mkoani Manyara.Aprili 6,2018. 

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akitazama Madini ya Tanzanite katika moja ya banda la maonyesho mara baada ya ufunguzi rasmi wa ukuta katika eneo la Mgodi wa Madini ya Tanzanite ulipo Mirerani-Simanjiro  mkoani Manyara.Aprili 6,2018.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na mgunduzi wa Madini ya Tanzanite Mzee Jumanne Ngoma mara baada ya ufunguzi rasmi wa ukuta katika eneo la Mgodi wa Madini ya Tanzanite ulipo Mirerani-Simanjiro  mkoani Manyara.Aprili 6,2018.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiwaaga baadhi ya Wananchi wa Mirerani mara baada ya kufungua rasmi wa ukuta wa Mgodi wa Madini ya Tanzanite ulipo Mirerani-Simanjiro  mkoani Manyara.Aprili 6,2018.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *