MWENYEKITI WA CCM TAIFA MHE.RAIS DKT.JOHN POMBE MAGUFULI AKUTANA NA WABUNGE WA CHAMA CHA MAPINDUZI JIJINI DODOMA.APRILI 28,2018

 

 

Mwenyekiti wa Wabunge wa CCM ambaye pia ni Waziri Mkuu Mhe.Kassim Majariwa akizungumza mbele ya Mwenyekiti wa Ccm Taifa Mhe.Rais Dkt.John Pombe Magufuli alipokutana na wabunge wa chama cha mapinduzi katika ukumbi wa White house Jijini Dodoma.Aprili 28,2018.

Spika wa Bunge Mhe.Job Ndugai akizungumza mbele ya Mwenyekiti wa Ccm Taifa Mhe.Rais Dkt.John Pombe Magufuli alipokutana na wabunge wa chama cha mapinduzi katika ukumbi wa White house Jijini Dodoma.Aprili 28,2018.

 

Mwenyekiti wa Ccm Taifa Mhe.Rais Dkt.John Pombe Magufuli akizungumza na wabunge wa chama cha mapinduzi katika ukumbi wa White house Jijini Dodoma.Aprili 28,2018.

 

Mwenyekiti wa Ccm Taifa Mhe.Rais Dkt.John Pombe Magufuli akizungumza na wabunge wa chama cha mapinduzi katika ukumbi wa White house Jijini Dodoma.Aprili 28,2018.

Wabunge wa Chama cha Mapinduzi wakimshangilia na kumpongeza  Mwenyekiti wa Ccm Taifa Mhe.Rais Dkt.John Pombe Magufuli alipokutana na kuzungumza na wabunge hao katika ukumbi wa White house Jijini Dodoma.Aprili 28,2018.

Mwenyekiti wa Ccm Taifa Mhe.Rais Dkt.John Pombe Magufuli akipeana mikono Wabunge wa Chama cha Mapinduzi CCM mara baada ya kuzungumza na wabunge hao katika ukumbi wa White house Jijini Dodoma.Aprili 28,2018.

Mwenyekiti wa Ccm Taifa Mhe.Rais Dkt.John Pombe Magufuli akiwapungia mikono Wabunge wa Chama cha Mapinduzi CCM mara baada ya kuzungumza na wabunge hao katika ukumbi wa White house Jijini Dodoma.Aprili 28,2018.

 

Mwenyekiti wa Ccm Taifa Mhe.Rais Dkt.John Pombe Magufuli akipeana mikono Wabunge wa Chama cha Mapinduzi CCM mara baada ya kuzungumza na wabunge hao katika ukumbi wa White house Jijini Dodoma.Aprili 28,2018.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *