RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA MHE.DKT JOHN POMBE MAGUFULI AZINDUA UPANUZI WA HUDUMA ZA SHIRIKA LA SIMU TANZANIA (TTCL), PAMOJA NA KUPOKEA GAWIO LA SERIKALI KUTOKA SHIRIKA HILO KATIKA UKUMBI WA KITUO CHA MIKUTANO CHA KIMATAIFA CHA JULIUS NYERERE JIJINI DAR ES SALAAM.JUNI 21 2018

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt.John Pombe Magufuli akimsikiliza Mkurugenzi wa Shirika la Simu Tanzania Waziri Kindamba wakati wa uzinduzi wa upanuzi wa huduma za Shirika la Simu Tanzania (TTCL),kabla ya kupokea gawio la serikali kutoka Shirika hilo katika ukumbi wa Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Julius Nyerere Jijini Dar es Salaam.Juni 21 2018.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt.John Pombe Magufuli akipiga makofi alipokuwa akimsiliza Mkurugenzi wa Shirika la Simu Tanzania Waziri Kindamba wakati wa uzinduzi wa upanuzi wa huduma za Shirika la Simu Tanzania (TTCL),kabla ya kupokea gawio la serikali kutoka Shirika hilo katika ukumbi wa Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Julius Nyerere Jijini Dar es Salaam.Juni 21 2018.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt.John Pombe Magufuli akipokea hundi ya fedha kwaajili ya gawio la la Serikali la mwaka  kutoka kwa Mkurugenzi wa Shirika la Simu Tanzania Waziri Kindamba  na Mwenyekiti wa Bodi ya TTCL Omary Nundu wakati wa uzinduzi wa upanuzi wa huduma za Shirika la Simu Tanzania (TTCL) katika ukumbi wa Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Julius Nyerere Jijini Dar es Salaam.Juni 21 2018.

 

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt.John Pombe Magufuli akionyesha hundi ya fedha kwaajili ya gawio la la Serikali la mwaka aliyokabidhiwa  na Mkurugenzi wa Shirika la Simu Tanzania Waziri Kindamba  na Mwenyekiti wa Bodi ya TTCL Omary Nundu wakati wa uzinduzi wa upanuzi wa huduma za Shirika la Simu Tanzania (TTCL) katika ukumbi wa Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Julius Nyerere Jijini Dar es Salaam.Juni 21 2018.

 

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt.John Pombe Magufli akihutubia katika uzinduzi wa  upanuzi wa huduma za Shirika la Simu Tanzania (TTCL), pamoja na kupokea gawio la serikali kutoka Shirika hilo katika ukumbi wa Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Julius Nyerere Jijini Dar es Salaam.Juni 21 2018.

 

 

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt.John Pombe Magufli akihutubia katika uzinduzi wa  upanuzi wa huduma za Shirika la Simu Tanzania (TTCL), pamoja na kupokea gawio la serikali kutoka Shirika hilo katika ukumbi wa Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Julius Nyerere Jijini Dar es Salaam.Juni 21 2018.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt.John Pombe Magufuli akizindua rasmi upanuzi wa huduma za Shirika la Simu Tanzania (TTCL), pamoja na kupokea gawio la serikali kutoka Shirika hilo katika ukumbi wa Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Julius Nyerere Jijini Dar es Salaam.Juni 21 2018.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt.John Pombe Magufuli akiwa na Waziri wa Mawasiliano na Uchukuzi Profesa Makame Mbalawa (Mb),Mwenyekiti wa kamati ya kudumu ya Bunge ya Miundombinu Seleman Kakoso, Mkurugenzi wa Shirika la Simu Tanzania Waziri Kindamba  na Mwenyekiti wa Bodi ya TTCL Omary Nundu wakati wa uzinduzi wa upanuzi wa huduma za Shirika la Simu Tanzania (TTCL) katika ukumbi wa Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Julius Nyerere Jijini Dar es Salaam.Juni 21 2018.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt.John Pombe Magufuli akiwa katika picha ya pamoja na Wabunge wa kamati ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu.wengine ni Waziri wa Mawasiliano na Uchukuzi Profesa Makame Mbalawa (Mb),Mwenyekiti wa kamati ya kudumu ya Bunge ya Miundombinu Seleman Kakoso, Mkurugenzi wa Shirika la Simu Tanzania Waziri Kindamba  na Mwenyekiti wa Bodi ya TTCL Omary Nundu,Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam Paul Makonda.wakati wa uzinduzi wa upanuzi wa huduma za Shirika la Simu Tanzania (TTCL) katika ukumbi wa Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Julius Nyerere Jijini Dar es Salaam.Juni 21 2018.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt.John Pombe Magufuli akiwa katika picha ya pamoja na Wakuu wa Vyombo vya Dora.wengine ni Waziri wa Mawasiliano na Uchukuzi Profesa Makame Mbalawa (Mb),Mwenyekiti wa kamati ya kudumu ya Bunge ya Miundombinu Seleman Kakoso, Mkurugenzi wa Shirika la Simu Tanzania Waziri Kindamba  na Mwenyekiti wa Bodi ya TTCL Omary Nundu,Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam Paul Makonda.wakati wa uzinduzi wa upanuzi wa huduma za Shirika la Simu Tanzania (TTCL) katika ukumbi wa Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Julius Nyerere Jijini Dar es Salaam.Juni 21 2018.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt.John Pombe Magufuli akiwa katika picha ya pamoja na Wafanyakazi wa TTCL .wengine ni Waziri wa Mawasiliano na Uchukuzi Profesa Makame Mbalawa (Mb),Mwenyekiti wa kamati ya kudumu ya Bunge ya Miundombinu Seleman Kakoso, Mkurugenzi wa Shirika la Simu Tanzania Waziri Kindamba  na Mwenyekiti wa Bodi ya TTCL Omary Nundu,Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam Paul Makonda.wakati wa uzinduzi wa upanuzi wa huduma za Shirika la Simu Tanzania (TTCL) katika ukumbi wa Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Julius Nyerere Jijini Dar es Salaam.Juni 21 2018.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt.John Pombe Magufuli akiagana na Mkurugenzi wa Shirika la Simu Tanzania Waziri Kindamba  mara baada ya uzinduzi wa upanuzi wa huduma za Shirika la Simu Tanzania (TTCL) katika ukumbi wa Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Julius Nyerere Jijini Dar es Salaam.Juni 21 2018.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt.John Pombe Magufuli akiagana na Mwenyekiti wa Bodi ya TTCL Omary Nundu mara baada ya uzinduzi wa upanuzi wa huduma za Shirika la Simu Tanzania (TTCL) katika ukumbi wa Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Julius Nyerere Jijini Dar es Salaam.Juni 21 2018.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt.John Pombe Magufuli akiagana na Mwenyekiti wa kamati ya kudumu ya Bunge ya Miundombinu Seleman Kakoso mara baada ya uzinduzi wa upanuzi wa huduma za Shirika la Simu Tanzania (TTCL) katika ukumbi wa Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Julius Nyerere Jijini Dar es Salaam.Juni 21 2018.

 

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *